
SMS ya kumwambia mpenzi wako kuwa bado unampenda na hujabadilika
“Japokuwa” “Kuku” “Haogi” “Yai” “Lake” “Litabaki” “Kuwa” “Jeupe” “Tu” “Namaanisha” “Kuwa” “Hata” “Kama” “Ukiona” “Nipo” “”KIMYA”” Muda” “Mrefu” “”UPENDO”” “Wangu” “Kwako” “””Bado”””

SMS nzuri ya usiku mwema kwa sweet wako
Usiku wa leo uwe ni wenye faraja kwako, utawaliwe na usingizi wa mahaba kwenye kope zako, naomba ujenge taswira yangu katika mawazo yako, Usisahau kuniota sweet wangu. USIKU MWEMA Read and Write Comments

Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa unampenda kila unapomtazama
Wanasema mtu huanguka katika mapenzi mara moja, jamboambalo mimi naliona si la kweli kwa maana kilaninapokutazama najikuta nakupenda tena na tena. Read and Write Comments

Meseji nzuri ya kimahaba ya salamu kwa mpenzi
Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa manenolaini yenye ladha adimu, utamu wake ni kamaapple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuleteesalamu “UHALI GANI MPENZI?” Read and Write Comments

SMS nzuri ya kumtumia umpendaye kumwambia unavyompenda na kumridhia
Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweliusio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu,moyonimwangu nimeridhiaโฆ .nakupenda daima mpenzi! Read and Write Comments

SMS ya kumdekeza mpenzi wako na kumwambia unavyompenda
mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi nizawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,nawezakusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyowangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana. Read and Write Comments

Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa utampenda mpaka mwisho wa uhai wako
Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi,ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupendampaka mwisho wa uhai wangu. Read and Write Comments

Ujumbe wa meseji wa kumsihi mpenzi wako mdumishe mapenzi yenu
Ni vigumu kumpata mwenye mapenzi ya kweli na zaidi yuleatakayekuwa tayari kukupenda zaidi, hivyo nafasiinapopatika si busara kuichezea tudumishe penzi letulaazizi wangu. Read and Write Comments

SMS nzuri kwa mpenzi wako
mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenz nizawadi,tabasamu,nibusu niambie kiasi ganiunanipenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lakolimezunguka ukuta wa moyo wangu,na kamwe jina lakohaliwezi futika.NAKUPENDA Read and Write Comments

Ujumbe wa mapenzi kwa umpendaye kwa dhati
Nakupenda usiku na mchanaNakuwaza siku zote za maisha yangu Read and Write Comments
Recent Comments