SMS kali ya kumtumia mpenzi wako usiku
Ukilala Lala Salama Kumbatia mwili wangu Kama ukinikumbuka Sana Nipigie Kupitia Sim Yangu Matatizo Chuki Lawama Vumilia Mpenzi Wangu. Read and Write Comments
Meseji ya usiku mwema kwa umpendaye
Ckia ckupend, cktaki na wala ckhitji tena ww ni kikwzo ktka maisha yangu ucnizoee! Mwmbie shtan maneno hya kabla hjalala. g9t
SMS nzuri ya kumtumia umpendaye kumwambia unavyompenda na kumridhia
Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweliusio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu,moyonimwangu nimeridhia… .nakupenda daima mpenzi! Read and Write Comments
SMS ya kumuomba umpendaye akukubalie
pindi nikukumbukapo chozi langu huwa linatoka bilasababu,kasi Ya mapigo ya moyo Huongezea PasipoSababu,nimegundua Nakuhtaji Naomba Unikubalie. Read and Write Comments
SMS ya mapenzi kutakia maisha marefu siku ya kuzaliwa au birthday
Happy birthday mpenzi, nakuombea kwa mwenyezi akupemaisha marefu na kukuepusha na maradhi,pongezi kwa wako wazazikwa kukuzaa mpenzi,nakupenda la azizi. Read and Write Comments
Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mpenzi wako kumwambia anayo sehemu yake ya kukaa kwenye moyo wako
Naweza kuishiwa ujumbe wa kukutumia. Naweza kuishiwa utanipia. Naweza kuishiwa chaji lakini moyo wangu hauwezikukosa nafasi ya kukuweka. Read and Write Comments
Ujumbe mzuri wa mapenzi kwa mpenzi uliye mmiss
Nina huzuni moyoni sijui kwa kuwa siku hizi sikuoni,naishia kukuota ndotoni,hivi kweli nipo kwako moyoni? Nakupenda Read and Write Comments
Ujumbe wa mahaba wa kumwambia mpenzi wako penzi lake ni tamu sana
utamu wa penzi hunogeshwa na pendo la dhati pia utamu wapenzi ni uwepo wangu na wako,ladha yake ni zaidi ya nazikwenye wali au royco kwenye mchuzi au pilipili kwenyekachumbari, utamu wake ni zaidi ya asali au jam kwenyemkate ,blueband kwenye uji.penzi tamu halina kifani Read and Write Comments
Ujumbe wa kumtumia rafiki yako anayeolewa
Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengiwatakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapoambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakinihawajapata wa kuwaowa Read and Write Comments
SMS ya mapenzi ya mahaba kwa mpenzi wako aliyeko mbali
Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha,mimi si ‘Supamani’ lakini nipe sekunde moja nitavuka nchinyingi kukutumia mapenzi yangu. Umeipata hiyo? Pokea mapenzi yangu japo uko mbali. Read and Write Comments








I’m so happy you’re here! 🥳













































































Recent Comments