Sale!

📕Kitabu cha Sala Muhimu: Mkusanyiko wa SALA, LITANIA NA NOVENA

(93 customer reviews)

Sh0

Ni kitabu chenye Mwongozo wa Sala, Litania na Novena mbalimbali. Kipo katika Mfumo wa PDF (Soft copy).

Kitabu hiki kina sala Mbalimbali zikiwemo;

  1. Sala za Asubuhi,
  2. Sala za Jioni/Usiku,
  3. Mwongozo wa kusali Rozari ya Bikira Maria,
  4. Novena ya Roho Mtakatifu,
  5. Novena ya Mt. Agustino,
  6. Novena ya Moyo Mtakatifu wa Yesu,
  7. Novena ya Noeli,
  8. Rosari Ya Bikira Maria Mama Wa Msaada Wa Daima,
  9. Mwongozo wa Njia ya Msalaba
  10. Na sala nyingine nyingi.

Kitabu hiki ni Soft copy [pdf] kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa moja kwenye simu yako.

Ili kupata kitabu hiki, utatakiwa kufanya Malipo hapa hapa. Unaweza kufanya malipo kupitia Mitandao ya simu kama vile M-PESA, Airtel Money na Tigo Pesa kirahisi kabisa “automatic” hapo hapo katika simu yako. Anza kwa kubofya “Click here to Dowload” na ufuate hatua zinazofuata.

Baada ya kufanya malipo, utatumiwa kopi ya kitabu kupitia email yako na utaweza kudownload kitabu chako wakati wowote.

Bofya “Click Here to Download” ili uweze kuingiza taarifa zako na kufanya malipo.

 

Category:

Kitabu hiki ni muhimu kwa mkristo yeyote hasa anayependa kusali;

Ni muongozo mzuri wa kukusaidia kusali.

Yaliyomo
1. Sala Ya Kumwomba Mtakatifu Teresia
2. Sala ya Saa Tisa Mchana
3. Kujiweka Chini Ya Ulinzi Wa Mt. Yosefu
4. Sala Kwa Mt. Yosefu Kwa Ajili Ya Kuliombea Kanisa La Mahujaji
5. Sala Ya Kumwomba Mt. Yosefu Msaada (Sala Kuu Kwa Mtakatifu Yosefu)
6. Sala Kwa Mt. Yosefu Kwa Wasio Na Ajira Wapate Ajira
7. Sala Kwa Mt. Yosefu Kuomba Kufahamu Wito Wako
8. Sala Ya Uhai Kwa Mt. Yosefu
9. Sala Ya Novena Ya Siku Tisa Kwa Mt. Yosefu, Ya Zamani, Miaka 1900 Iliyopita
10. LITANIA YA BIKIRA MARIA
11. Nyimbo na Sala za Ibada ya Njia ya Msalaba 
11.1. KITUO CHA KWANZA: -YESU ANAHUKUMIWA AFE
11.2. KITUO CHA PILI: YESU ANAPOKEA MSALABA
11.3. KITUO CHA TATU: YESU ANAANGUKA MARA YA KWANZA
11.4. KITUO CHA NNE: YESU ANAKUTANA NA MAMA YAKE
11.5. KITUO CHA TANO – SIMONI WA KIRENE ANAMSAIDIA YESU
11.6. KITUO CHA SITA: VERONIKA ANAPANGUSA USO WA YESU
11.7. KITUO CHA VII: YESU ANAANGUKA MARA YA PILI
11.8. KITUO CHA VIII: AKINA MAMA WANAMLILIA YESU
11.9. KITUO CHA IX: YESU ANAANGUKA MARA YA TATU
11.10. KITUO CHA X: YESU ANAVULIWA NGUO
11.11. KITUO CHA XI: YESU ANASULIBIWA MSALABANI
11.12. KITUO CHA XII: YESU ANAKUFA MSALABANI
11.13. KITUO CHA XIII: YESU ANASHUSHWA MSALABANI
11.14. KITUO CHA XIV : YESU ANAZIKWA KABURINI
11.15. KITUO CHA XV: YESU AMEFUFUKA
12. Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua
13. Sala za Usiku kabla ya kulala 
13.1. SALA YA KUSHUKURU
13.2. SALA YA IMANI
13.3. SALA YA MATUMAINI
13.4. SALA YA MAPENDO
13.5. KUTUBU DHAMBI
13.6. SALA YA KUWAOMBEA WATU
13.7. SALA KWA MALAIKA MLINZI
13.8. MALAIKA WA BWANA
13.9. MALKIA WA MBINGU (kipindi cha Pasaka)
13.10. KUJIKABIDHI
13.11. WIMBO:
13.12. KUOMBA ULINZI WA USIKU
14. Sala ya Asubuhi ya kila siku 
14.1. SALA YA ASUBUHI.
14.2. NIA NJEMA.
14.3. SALA YA MATOLEO.
14.4. BABA YETU.
14.5. SALAMU MARIA.
14.6. KANUNI YA IMANI.
14.7. AMRI ZA MUNGU.
14.8. AMRI ZA KANISA.
14.9. SALA YA IMANI.
14.10. SALA YA MATUMAINI.
14.11. SALA YA MAPENDO.
14.12. SALA YA KUTUBU.
14.13. SALA KWA MALAIKA MLINZI.
14.14. MALAIKA WA BWANA.
14.15. ATUKUZWE BABA.
15. Sala wakati wa Kujibariki na Maji ya Baraka
16. Novena ya Noeli 
17. Sala Ya Kuwaombea Mapadre
18. Sala Ya Kuombea Familia
19. Majitoleo kwa Bikira Maria
20. Sala ya Medali ya Mwujiza
21. Sala kwa Mtakatifu Yuda Thadei
22. Sala kwa Mtakatifu Yosefu
23. Sala kwa wenye kuzimia
24. Sala kwa Malaika Mlinzi
25. Novena Ya Roho Mtakatifu Kwa Siku Zote Tisa 
25.1. BAADHI YA NYIMBO KWA ROHO MTAKATIFU
25.1.1. NJOO WANGU MFARIJI
25.1.2. NJOO ROHO MTAKATIFU
25.1.3. UJE ROHO (SEKWENSIA)
25.2. NJOO ROHO MTAKATIFU
25.3. NOVENA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA KWANZA, IJUMAA
25.4. NOVENA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA PILI, JUMAMOSI
25.5. NOVENA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA TATU, JUMAPILI
25.6. NOVENA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA NNE, JUMATATU
25.7. NOVENA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA TANO, JUMANNE
25.8. NOVENA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA SITA, JUMATANO
25.9. NOVENA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA SABA, ALHAMISI
25.10. NOVENA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA NANE, IJUMAA
25.11. NOVENA YA ROHO MTAKATIFU SIKU YA TISA, JUMAMOSI
26. LITANIA YA ROHO MTAKATIFU
27. Sala Ya Mtu Aliyekabiliwa Na Matatizo Mbalimbali
28. Sala Za Kumwabudu Yesu Katika Ekaristi Takatifu
28.1. SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
28.2. SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I
28.3. SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II
28.4. SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI
28.5. SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU
29. Sala Mbalimbali Kwa Bikira Maria Wa Mateso
29.1. ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA
29.1.1. TESO LA KWANZA
29.1.2. TESO LA PILI
29.1.3. TESO LA TATU
29.1.4. TESO LA NNE
29.1.5. TESO LA TANO
29.1.6. TESO LA SITA
29.1.7. TESO LA SABA
29.2. LITANIA YA MAMA WA MATESO
29.3. SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
29.4. SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI
29.5. SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE
30. Rosari Ya Bikira Maria Mama Wa Msaada Wa Daima
30.1. Mwanzo, kwenye Msalaba:
30.2. Kwenye chembe ndogo za awali:
30.3. KATIKA KILA FUNGU SALI SALA ZIFUATAZO:
30.4. Kwenye chembe kubwa:
30.5. Kwenye chembe ndogo:
30.6. MWISHO SALI SALA ZIFUATAZO:
31. Sala Ya Maombi Kwa Moyo Mtakatifu Wa Yesu
32. Novena kwa Moyo Mtakatifu wa Yesu
32.1. WIMBO:
32.2. SALA YA KUTUBU
32.3. ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
32.4. LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
32.5. SALA YA NOVENA
32.6. SALA YA MAOMBI
33. Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu
34. Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli
34.1. SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU
34.2. SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU
34.3. SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI
34.4. SALA NYINGINE KWA MALAIKA WAKO MLINZI.
35. Rozari, Matendo, Litani Na Nyimbo Za Mama Bikira Maria
35.1. JINSI YA KUSALI ROSARI
35.2. MATENDO YA ROZARI TAKATIFU
35.2.1. MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)
35.2.2. MATENDO YA UCHUNGU (Jumanne na Ijumaa)

35.2.3. MATENDO YA UTUKUFU (Jumatano na Jumapili)
35.2.4. MATENDO YA MWANGA (Alhamisi)
35.3. LITANIA YA BIKIRA MARIA
35.3.1. Tuombe
36. Litania Ya Kuwaombea Mapadre Wote II
37. Litania Ya Kuwaombea Mapadre Wote 1
38. Novena Kwa Mt. Augustino Wa Hippo
38.1. SIKU YA KWANZA – kutafuta ukweli – kweli ni nini?
38.1.1. Litania kwa heshima ya Mtakatifu Augustino
38.2. Siku ya pili – Utulivu
38.3. Siku ya tatu – matendo-tafakari na matendo
38.4. Siku ya nne – umaskini wa kiinjili – maisha ya kujitoa
38.5. Siku ya tano – urafiki katika jumuiya yetu
38.6. Siku ya sita – augustino mfano wa unyenyekevu
38.7. Siku ya saba – uangalizi wa imani yetu
38.8. Siku ya nane – utayari katika kulisaidia kanisa letu
38.9. Siku ya tisa – utayari wa kuwasaidia wenzetu
39. Sala Kwa Mtakatifu Yuda Tadei

 

Ili kupata kitabu hiki, utatakiwa kufanya hapa hapa. Unaweza kufanya malipo kupitia Mitandao ya simu kama vile M-PESA, Airtel Money na Tigo Pesa kirahisi kabisa “automatic” hapo hapo katika simu yako. Anza kwa kubofya “Click here to Dowload” na ufuate hatua zinazofuata.

Baada ya kufanya malipo, utatumiwa kopi ya kitabu kupitia email yako na utaweza kudownload kitabu chako wakati wowote.

Bofya “Click Here to Download” ili uweze kuingiza taarifa zako na kufanya malipo.

 

CLICK HERE TO DOWNLOAD

Enjoyed? Drop your Comment Below
OR Chat Live with AckySHINE here
Subscribe
Notify of
guest

Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Shopping Cart
📕Kitabu cha Sala Muhimu: Mkusanyiko wa SALA, LITANIA NA NOVENA
Sh0