SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako mnapogombana na kukorofishana
teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzihaiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatanebadaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo sikuwakigombana wataachana. Read and Write Comments
SMS nzuriiii ya kumpa mtu hai
Nakupa HAI, kwa sababu uko HAI, usingekuwa HAI, ni vigumu kupewa HAI, basi nawe wape HAI, walio HAI, maana ni bahati kuwa HAI, wengi walitamani kuwa HAI, lakini wamepoteza UHAI,
Ujumbe wa kimahaba wa kumwambia mpenzi wako ajiepushe na vishawishi
Najua kuna vishawishi vingi sana uko ulipo, lakini nikiwamoyoni mwako, siku hii itakuwa nzuri zaidi kwetu,tupendane daima lahazizi… Read and Write Comments
Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa yeye ni mtu muhimu sana katika maisha yako
Nakupenda mpenzi W nafasi uliyotawala moyoni mwangu nikubwa, hakuna ambaye anaweza kufikia uhodari wako, wewe nimtu muhimu sana maishani mwangu. Read and Write Comments
Ujumbe wa jinsi ya kumwambia mpenzi wako kuwa unampenda kweli
Moyo wangu kwako hautavunjika kamwe. Tabasamu langu kwako halitafutika kamwe. Penzi langu kwako halitaisha kamwe. Nakupenda! Read and Write Comments
SMS nzuri ya kumuomba mtu muwe wapenzi
Ama baada ya salamu, mimi ni mzima wa afya njema. Mie ni ndege nipo angani na nimetafuta mti wa kutua kila pembe ya dunia lakini sijaupata bado. Je naweza nikatua kwako?
Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe kumwambia unavyommisi
Mawingu yametanda napanda kwenye kitanda, macho nayaangaza, taratibu navuta shuka na kujitanda, mishumaa pembezoni inaniangaza, mziki laini wanibembeleza
SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako mpya
Mpenzi wangu T tambua kuwa ulimwengu tunaoishi una mambomuhimu matatu. Jambo la kwanza ni kumpata umpendaye, lapili ni kupata atakayekupenda la tatu ambalo ni kubwakuliko yote ni kwa jambo la kwanza na la pili kuunganapamoja. Nashukuru nimekupata wewe nikupendaye, naomba unipende na uungane name Read and Write Comments
Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe kumwambia unavyommisi
Mawingu yametanda napanda kwenye kitanda,macho nayaangaza,taratibu navuta shuka na kujitanda,mishumaa pembezoni inaniangaza,mziki laini wanibembeleza kitu pekee nilichokikosani joto lako na vijimambo vyako kunako kitanda! Read and Write Comments
SMS ya kimahaba ya upendo ya kumtumia mpenzi wako anapoenda kwa mwingine
Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wangu hupatwa kidonda ninaokuona na mwinginehasa anapokuwa hana sifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wa kumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu. Read and Write Comments








I’m so happy you’re here! 🥳












































































Recent Comments