
Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa utampenda mpaka mwisho wa uhai wako
Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi,ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupendampaka mwisho wa uhai wangu. Read and Write Comments

Meseji ya kumbembeleza mpenzi wako aje kwako
mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioishahamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulishaunachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. ..njo leo uniambie unataka nini? Read and Write Comments

SMS tamu kwa ajili ya kumtumia umpendaye
“CHAI” bila sukari hainyweki.“ASALI” bila nyuki haitengenezeki.“PETE” bila kidole haivaliki.Na “MIMI” bila ya kukusalimia wala siridhiki! ย ย pokea maneno yafuatayo “I LOVE YOU” pokea my lovely kiss “MWAAAAAAA” my best wishes mtumie umpendaekama na mm nimo nirudishie. Read and Write Comments

SMS nzuri kali ya kimahaba yenye ujumbe wa kuomba pendo kwa umpendaye
Naomba upokee zawadi hii ya kiwembe.Amini ndicho kilichotumika kufanyia operation kwakupasuliwa moyo wangu, kwa sababu nimeoza kwa ajili yako,nimeambiwa ilinipone maradhi haya nipate:- (1)ushirikiano wako (2)furaha yk, (3)upendo wk, (3)tabasam yk.Je! uko tayari kuokoa maisha yangu? Read and Write Comments

SMS ya kutuma kwa mpenzi wako asubuhi
Ewe mwanga angaza mboni ya penzi letuNdilo sababu ya nguvu yanguTangulia pembeni mwa macho yakeAsubuhi hii hadi usiku ujao Read and Write Comments

SMS yakumtumia mtu unayempenda lakini hamko kwenye mahusiano
macho huona na moyo hurdhia,ila co kila kitu jicho lionalo moyo hurdhia.lakn pind moyo urdhiapo upendo moyon huingia.moyo huwa kpofu japo wng wa hisia.upendo ndan ya moyo haupimwi kwa mizani kwa unayemzimikia. moyo wangu umepata hisia Kwa flan licha bdo cjamjua. Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba kwa umpendaye sana
Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yakokuwa pamoja Read and Write Comments

Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako kumwambia akufanye wa kipekeee
mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi nimaradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi nikiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishemaishani mwako na uwe asali moyoni mwangu Read and Write Comments

Ujumbe kwa mpenzi kumwambia mlitunze pendo lenu
Utakuwa wangu wa maisha daima na penzi le2 litakuwa kmmfuko wa hazina,2talitunza km zaidi ya mboni la jicho. Read and Write Comments

SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako kumuonyesha unavyompenda
Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe. Read and Write Comments
Recent Comments