
Meseji ya kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe
sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbalinami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayewezakukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi. Read and Write Comments

Meseji ya kumwambia mpenzi wako asiwaze hata siku moja kuwa unawea kumuacha
Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwambamwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linawezakusimama, lakini usiwaze hata siku moja kuwa nawezakukuacha. Read and Write Comments

Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako kumwambia akufanye wa kipekeee
mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi nimaradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi nikiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishemaishani mwako na uwe asali moyoni mwangu Read and Write Comments

Ujumbe wa SMS kwa mpenzi wako anayetaka kukuacha
Hakika sikutaraji kulikosa lako penzi, wataka kuniachakuniacha ningali nakuhitaji, mpenzi tambua nahitaji yakohifadhi na niko radhi kukupeleka hadi kwa wangu wazazi,amini kwenda kwa mwingine sihitaji. Nakupenda. Read and Write Comments

SMS nzuri ya kumwambia mpenzi wako mpendane
Dhamira kuu ya Moyo wangu ni Mapenzi, kukupenda kwa dhati bila kipingamizi, kuishi nawewe kihalali kwa kudra za wazazi, Nipende nikupende Tudumishe Mapenzi. Read and Write Comments

Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa utampenda mpaka mwisho wa uhai wako
Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi,ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupendampaka mwisho wa uhai wangu. Read and Write Comments

Ujumbe wa kumtumia rafiki yako anayeolewa
Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengiwatakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapoambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakinihawajapata wa kuwaowa Read and Write Comments

SMS ya kumwambia mpenzi wako kuwa unampenda kweli
Ukweli lazima nikwambiye kwa kuwa sina kimbilio nakupenda kijana mwenzio sijui kwanini hutaki kukisikia changu kilio, namwomba Mungu kila kukicha usikiye changu kilio, nakupenda na kama kukueleza hili nakukosea nisamehe kwani si langu kusudio,luv u mwaah. Read and Write Comments

SMS ya kimahaba ya kumkumbusha mpenzi wako uwepo wako
Ucku ulalapo jua kuna m2 akupendaye,mchana uwajibikapotambua yupo anayekuwaza ,jioni uwapo mazoezini jua yupoanayekuonea wivu,hata uwapo kwenye kumbi za burudanitambua mwenzio nakulilia,usitoe penzi kangu akilini hatakm upo mbali nami!moyoni mwangu hutafutika milele! Read and Write Comments

SMS kali sana yenye ujumbe wa kimahaba kwa mpenzi wako
Natamani ningekuwa chozi jichoni mwako ambapo ningetelemkana kuishia midomoni mwako, lakini kamwe sitamani uwe chozijichoni mwangu nitakupoteza kila muda niliapo. Read and Write Comments
Recent Comments