
SMS ya kumwambia umpendaye akijisikia upweke akukumbuke wewe kwani upo kwa ajili yake
Watu husema kwamba, awapo mtu mmoja tu akupendaye, maishahayajapoteza maana, kwa hiyo, ukijihisi mpweke hauhitajikuishi nikumbuke mimi. Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia msichana umpendaye kumwambia kuwa utampenda daima
nashtumiwa kwa kumpenda mcchana mmoja aliyeutesa moyowangumahakama imenihukumu kifo kwa kunyongwa na kamba upendolkn kwa msamaha wa raisi mapenzinmehukumiwa kuwa mwaminif kwake nakumpenda zaidi ya hapodaima milele.nakupenda mpz Read and Write Comments

Ujumbe kwa mpenzi kumuonyesha unavyompenda
Mapenz hayana msimu walam majira isipokuwa ni kama majani yaotayo popote kwani siyo mimi ni msukumo na hisia zangu. Nakupenda sana Read and Write Comments

SMS Nzuri za Mapenzi
Ikiwa penzi langu kwako litakufa halitazikwa,ikiwa moyowangu ni mwandiko hautafutika na kama dhati yangu nimachozi daima hayatokauka na wewe kwangu ni damu ngozinihaitochuruzika ila mishipani… . Read and Write Comments

Meseji ya usiku mwema kwa umpendaye
Ckia ckupend, cktaki na wala ckhitji tena ww ni kikwzo ktka maisha yangu ucnizoee! Mwmbie shtan maneno hya kabla hjalala. g9t

Ujumbe mzuri wa SMS wa kumfariji mpenzi wako maisha yake yanapokuwa magumu
Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko nafuraha, na kuhisi upendo wako. Najua kuwa maisha maranyingine huwa ni makatili, na hiyo ni sababu niko hapakukuonyesha kuwa maisha yanaweza kuwa mazuri kama kuna mtuanayekujali. Read and Write Comments

Ujumbe wa siku ya kuzaliwa wa kutakia birthday njema kwa mpenzi wako
Leo ni siku ya furaha kwangu na kwa wakwe zangu,unajua ni kwa nini? Ni siku waliyokuleta kwenye hii dunia,happy birthday mpenzi! Read and Write Comments

SMS ya kimahaba kumueleza mpenzi wako maana ya mapenzi, Mapenzi ni nini?
Mapenzi ni nini? Wale wasiopenda huita majukumu, walewanaoyachezea huita mchezo, wale wasiokuwa nayo huitandoto, na wale wanaoelewa huyaita mwisho wa safari, namimi, mwisho wangu ni wewe. Read and Write Comments

SMS ya mapenzi ya mahaba kwa mpenzi wako aliyeko mbali
Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha,mimi si ‘Supamani’ lakini nipe sekunde moja nitavuka nchinyingi kukutumia mapenzi yangu. Umeipata hiyo? Pokea mapenzi yangu japo uko mbali. Read and Write Comments

SMS ya kumuonyesha mpenzi wako jinsi anavyokupagawisha
Watu waliniambia ninaweza kufanya chochote kama tu nitaweka mawazo yangu juu ya hicho kitu. Lakini kila nikijitahidi unaipoteza akili yangu Read and Write Comments
Recent Comments