
Ujumbe mzuri wa SMS wa kumfariji mpenzi wako maisha yake yanapokuwa magumu
Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko nafuraha, na kuhisi upendo wako. Najua kuwa maisha maranyingine huwa ni makatili, na hiyo ni sababu niko hapakukuonyesha kuwa maisha yanaweza kuwa mazuri kama kuna mtuanayekujali. Read and Write Comments

SMS ya kumwambia mpenzi wako kuwa unampenda kweli
Ukweli lazima nikwambiye kwa kuwa sina kimbilio nakupenda kijana mwenzio sijui kwanini hutaki kukisikia changu kilio, namwomba Mungu kila kukicha usikiye changu kilio, nakupenda na kama kukueleza hili nakukosea nisamehe kwani si langu kusudio,luv u mwaah. Read and Write Comments

Meseji ya kumsifia mpenzi wako kuwa ni mzuri
Swt ulivyoumbika wengi wanateseka juu yako ,najuawanakusumbua ni vema usiwakubalie, ukweli umebarikiwauzuri umeshushiwa na dhati ya penzi umetunukiwa nakupenda Read and Write Comments

Meseji ya kumwambia mpenzi wako asiwaze hata siku moja kuwa unawea kumuacha
Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwambamwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linawezakusimama, lakini usiwaze hata siku moja kuwa nawezakukuacha. Read and Write Comments

Meseji ya kumtumia mpenzi wako anapoonyesha kukupenda
Nakupenda kwa kuwa umegundua thamani ya penzi langunakuahidi utafaidi utamu wa mapenzi yangu Read and Write Comments

SMS ya kumwambia mpenzi wako anakufaa kwa kila kitu
Maji hunitosha nisikiapo kiu, chakula hinitosha nisikiapo njaa, lakini wewe hunifaa kwa kila kitu! Read and Write Comments

Ujumbe mzuri wa kumwambia mpenzi wako kuwa yeye tuu mdiye kakutawala
Fikra hutawala mtima wangu,Kwa madhila yalojaa duniani,Kwa muhali wa yanayojiri,Kwa machweo na mawio,Kwa totoro ama nuruni,Nao moyo hukosa ukamilifu,Kwa utashi wa zake hisia,Zinipazo sababu kuu,Ya upendo juu yako,Ya kukufanya daima uwe,Mawazoni mwangu. Mawazoni ama ndotoni,Daima wewe hutawala,Kila asubuhi niamkapo,Nao usiku nilalapo,U chakula changu akilini,Nalo tulizo langu moyoni,Daima huuwaza upekee,Wewe uliojaaliwa,Na hivyo naihisi furaha,Daima wewe uwapo,Mawazoni …
Ujumbe mzuri wa kumwambia mpenzi wako kuwa yeye tuu mdiye kakutawala Read More »

SMS ya kumwambia mpenzi wako hutomuacha na kumuonyesha umuhimu wake
Kama safari tumeianza,kama chakula sinto kusanza,kamanyumba wewe kibaraza na kama ukingo wewe kiambaza. Read and Write Comments

SMS ya kumtumia mpenzi wako kumtakia mahangaiko mema ya kazi
Ukipata tutakula na wala usijali mpenzi wangu.
Ukikosa tutalala na hiyo itabaki siri yanguuuuuuuu.nakupenda mpz

Meseji ya kumkaribisha mpenzi wako
Njoo pendo langu nikutembezekatika milango ya furahaNikuwakilishe mbele ya majamaa zanguNikuonjeshe asali ya pendo langu Read and Write Comments
Recent Comments