
Meseji nzuri ya kumwambia mpenzi wako asichoke kukupenda
Thamani ya Mapenzi yako nikubwa kwangu, haifananinachochote kwenye huu ulimwengu, sina budikumshukuru mungu, kwa kunijaalia mpenzi mwema unaejalihisia zangu, USICHOKE KUNIPENDA MPENZI Read and Write Comments

Ujumbe wa kumtumia rafiki yako anayeolewa
Nakutakia kila la kheri katika maisha yako ya ndoa,wengiwatakuambia maneno kila kukicha,lakini nakuambia wapoambao kwa hakika watakaokuwa wamelenga kutia doa ndoa yako,rafiki yangu kipenzi kwani wengi waitamani ndoa lakinihawajapata wa kuwaowa Read and Write Comments

Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako mlioachana kumwambia hakuwa sahihi
maumivu ya kulipoteza penzi lako ni kubwa, lakini nimakubwa zaidi baada ya kugundua haukuwa yule nileyedhani.inaniuma sana Read and Write Comments

Ujumbe wa kumsifia mpenzi wako
Unaonekana kungโara leo nilijuajeโฆโฆ.ni kwasababuunaonekana hivyo kila siku. Nakupenda sana Mpenzi wangu vile ulivyo kila siku kwangu wewe ni mpya. Read and Write Comments

SMS ya kumkumbusha mpenzi wako kuwa unampenda
Ucku ulalapo jua kuna m2 akupendaye,mchana uwajibikapotambua yupo anayekuwaza ,jioni uwapo mazoezini jua yupoanayekuonea wivu,hata uwapo kwenye kumbi za burudanitambua mwenzio nakulilia,usitoe penzi kangu akilini hatakm upo mbali nami!moyoni mwangu hutafutika milele! Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba kumwambia mpenzi wako kuwa mnafiti kuwa pamoja
Mvua na jua haviwezi kuwa pamoja, usiku na mchanahazigongani, lakini mimi na wewe, hata wasemaje,โtunafitiโ kuwa pamoja. Read and Write Comments

Ujumbe wa salamu kwa mpenzi kumjulia hali
Furaha ni kawaida yangu, kununa si busara kwangu, kuishi nawewe vizuri ni sehemu ya Maisha yangu, kukusalimia ni hulka ya Moyo wangu, Uhali gani mpenzi? Read and Write Comments

Ujumbe mzuri wa kumuomba mpenzi wako asikuache
Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu, siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtu muhimu, unaeng’aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha. “NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANGU” Read and Write Comments

Ujumbe mzuri wa kuamsha mapenzi kwa mtu
Kulikuwa na vipepeo wawili waliokuwa wanapendana sana, siku 1 waliamua kucheza mchezo wa mahaba. Waliweka ua na walipanga kesho ambaye atakuja mapema na kukaa juu ya UA, atakuwa anampenda mwenzake zaidi. Asubuhi kipepeo dume alienda mapema sana na kukaa juu ya UA. Masikini kumbe jike alifika tangu jana kumwonesha mpenzi wake ni jinsi gani anavyompendaโฆ!! …

Ujumbe wa mahaba wa kumwambia mpenzi wako penzi lake ni tamu sana
utamu wa penzi hunogeshwa na pendo la dhati pia utamu wapenzi ni uwepo wangu na wako,ladha yake ni zaidi ya nazikwenye wali au royco kwenye mchuzi au pilipili kwenyekachumbari, utamu wake ni zaidi ya asali au jam kwenyemkate ,blueband kwenye uji.penzi tamu halina kifani Read and Write Comments
Recent Comments