
Ujumbe mzuri wa usiku mwema kwa umpendaye
Raha ya ndege kichaka si tunduni asilani,Raha ya Ndege ujumbe nakupa mpelekeemwandani iwapo hukumkuta msubiri mlangoni,Usije ukaondoka hakuchinji asilani,Mwambie namkumbuka hatoki mwangu moyoni.ucku mwema Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba kumwambia mpenzi wako umelimisi penzi lake
Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiachk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl naunitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin.Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd kuchanganyikiwa kwaukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz.Nakupenda kipenz cha moyo wangu. Read and Write Comments

SMS nzuri kali ya kimahaba yenye ujumbe wa kuomba pendo kwa umpendaye
Naomba upokee zawadi hii ya kiwembe.Amini ndicho kilichotumika kufanyia operation kwakupasuliwa moyo wangu, kwa sababu nimeoza kwa ajili yako,nimeambiwa ilinipone maradhi haya nipate:- (1)ushirikiano wako (2)furaha yk, (3)upendo wk, (3)tabasam yk.Je! uko tayari kuokoa maisha yangu? Read and Write Comments

SMS kwa mpenzi kumwambia unampenda kwa moyo
unaweza ukafunga macho kwa usilolitaka kuliona lakinihauwez kufunga moyo wako kwa Unalo Lipenda. NakupendaMpenzi Read and Write Comments

SMS ya kimahaba kwa mpenzi wako kumwambia unampenda sana hutaki hata sekunde ipite bila kumpenda
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu,basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bilakukupenda wewe. Read and Write Comments

Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako kumwambia akufanye wa kipekeee
mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi nimaradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi nikiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishemaishani mwako na uwe asali moyoni mwangu Read and Write Comments

Meseji nzuri ya kumtumia laazizi wako kumwambia jinsi unavyompenda
naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafunguanafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wanguilikutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yakompenzi.nakupenda sana laazizi Read and Write Comments

SMS ya kumtumia mpenzi wako anayesikitika au anayelia
ewe kwangu ni kila kitu,sipendi kuyaona machozi yako mpenzi wangu!Sogea nikufute na unirudishe tena mikononi mwako,nakupenda sana dear! Read and Write Comments

SMS nzuri kuhusu maana ya mapenzi
mapenzi si pombe lkn yanalewesha, wala si kidonda lakiniyanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala sinjaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwaunaempenda Read and Write Comments

Meseji ya namna nzuri ya kumwambia mpenzi wako kuwa unampenda
Neno Nakupenda Hutamkwa Kwa Lugha Legeeevu YenyeKuambatana Na Hisia Nzito Zilizofikicha MioyoniMwetu,hutamkwa Kwa Kauli Bashasha,nakshi Na Hofu NdaniYake.raha Yake Umpate Anayekujali Kama Mi NinavyokujaliNakupenda Mpz Read and Write Comments
Recent Comments