
Ujumbe mzuri wa kimapenzi wa kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda kweli
“Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napendakuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe”nakupenda laazizi“Kama mimi nilikuwa na maua kila wakatimawazo yanguyangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kablayako je wewe ungekuwepo nayoungempa nani kwanza? “ Read and Write Comments

Ujumbe wa meseji wa kumsihi mpenzi wako mdumishe mapenzi yenu
Ni vigumu kumpata mwenye mapenzi ya kweli na zaidi yuleatakayekuwa tayari kukupenda zaidi, hivyo nafasiinapopatika si busara kuichezea tudumishe penzi letulaazizi wangu. Read and Write Comments

Ujumbe wa kutuma kwa mpenzi wako ajione mwenye thamani kubwa
Wewe ni mng’arao machoni mwangu;Tabasamu la midomo yangu;Furaha ya uso wangu;Kwa sababu bila wewe, mimi sinajipya. Read and Write Comments

Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa umezama kwake
tazama, nimezamandani ya baharila penzi lakosiwezikusonga mbelekurudi nyumasijielewihaya mapenzi ya fujo hayafaikama wanipendajaribu kunipa raha Read and Write Comments

Ujumbe wa kumjulia hali mpenzi wako wakati wowote
Sio Maua yote Huonesha Upendo,
“Ni Waridi pekee”
sio Miti yote Hustawi Jangwani
“ni Mtende pekee”

Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa yeye ni mtu muhimu sana katika maisha yako
Nakupenda mpenzi W nafasi uliyotawala moyoni mwangu nikubwa, hakuna ambaye anaweza kufikia uhodari wako, wewe nimtu muhimu sana maishani mwangu. Read and Write Comments

SMS ya kumwambia mpenzi wako kuwa haumpendi kwa uzuri wake tuu
Napenda ufahamu kuwa wewe ndiye nikupendae tuUzuri wako sio sababu ya mimi kukupendaIla nakupenda kwa matendo yako na jinsi ulivyoumbika. Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mkeo mtarajiwa kumsifia alivyoumbika
Kila nikuonapo napata weweseko, yako miondoko si ya kitotona zaidi wajua kuweka mikogo, umeumbika si kitoto,nahitaji uwe wangu mama watoto! Read and Write Comments

SMS tamu kwa ajili ya kumtumia umpendaye
“CHAI” bila sukari hainyweki.“ASALI” bila nyuki haitengenezeki.“PETE” bila kidole haivaliki.Na “MIMI” bila ya kukusalimia wala siridhiki! pokea maneno yafuatayo “I LOVE YOU” pokea my lovely kiss “MWAAAAAAA” my best wishes mtumie umpendaekama na mm nimo nirudishie. Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba kumwambia mpenzi wako umelimisi penzi lake
Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiachk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl naunitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin.Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd kuchanganyikiwa kwaukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz.Nakupenda kipenz cha moyo wangu. Read and Write Comments
Recent Comments