
Meseji ya kumuaminisha mpenzi wako kuwa unampenda
upendo wa moyoni ndiyo dhati niliyoamini amini kwa hayanisemayo nakupenda wewe ndiyo kaburi nitakalozikwa nalo Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba kumuomba mpenzi wako asichoke kuwasiliana na wewe kwa kutumia simu
Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue mesejina kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichokekwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe kumwambia unavyommisi
Mawingu yametanda napanda kwenye kitanda, macho nayaangaza, taratibu navuta shuka na kujitanda, mishumaa pembezoni inaniangaza, mziki laini wanibembelezaย

Ujumbe wa salamu kwa mpenzi kumjulia hali
Furaha ni kawaida yangu, kununa si busara kwangu, kuishi nawewe vizuri ni sehemu ya Maisha yangu, kukusalimia ni hulka ya Moyo wangu, Uhali gani mpenzi?

SMS nzuri kwa mpenzi wako kumwambia kuwa ameitibu akili yako
Chuki huharibu akili; mapenzi huitibu. Umeitibu akiliyangu. Read and Write Comments

Meseji ya kumwambia mpenzi wako asiwaze hata siku moja kuwa unawea kumuacha
Asali wa moyo wangu, fahamu kuwa unaweza kuamini kwambamwanga wa nyota unaweza kuunguza nyumba, jua linawezakusimama, lakini usiwaze hata siku moja kuwa nawezakukuacha. Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mkeo mtarajiwa kumsifia alivyoumbika
Kila nikuonapo napata weweseko, yako miondoko si ya kitotona zaidi wajua kuweka mikogo, umeumbika si kitoto,nahitaji uwe wangu mama watoto! Read and Write Comments

SMS kali ya kumtumia mpenzi wako usiku
Ukilala Lala Salama Kumbatia mwili wangu Kama ukinikumbuka Sana Nipigie Kupitia Sim Yangu Matatizo Chuki Lawama Vumilia Mpenzi Wangu. Read and Write Comments

Meseji ya kumwambia mpenzi unampenda peke yake
mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahabasili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwezkuipeza,nakupenda wewe pekee Read and Write Comments

Ujumbe wa kumwambia mpenzi wako kuwa yupo juu katika mapenzi
Imara hautikisiki,kakamavu halishikiki penzi langu kwakoni nuru daima halizimiki.upo juu katika mapenzi. Read and Write Comments
Recent Comments