Chema na kizuri
Read and Write CommentsSio kila kizuri ni chema, lakini kila chema ni kizuri. Uzuri wa chema ni wema wake.
Read and Write CommentsSio kila kizuri ni chema, lakini kila chema ni kizuri. Uzuri wa chema ni wema wake.
Read and Write CommentsKuacha kitu chochote kabisa moja kwa moja ni rahisi sana kuliko kufanya kitu hicho kidogokidogo kwa wastani. Usijidanganye utafanya kidogo au utaacha kidogo. Acha Kabisa na usifanye tena.
Read and Write CommentsKitu chochote kinapofanywa vizuri mwanzoni ni sawa na kimefanywa nusu tayari.
Read and Write CommentsInapendeza kweli mke na Mume kusaidiana. Kusaidiana ni Kushirikiana lakini kugawana majukumu ni kupeana mzigo
Read and Write CommentsKwenye dunia hii vitu haviwezi kusimama kama havijasimamishwa.
Read and Write CommentsHuwezi kuona thamani ya kitu ambacho hujakigharamia. Faida haina thamani kama haijagharamiwa.
Read and Write CommentsUwezo wa kuwa makini katika jambo bila kuyumbishwa na kitu chochote ni ishara kuu ya mtu mwenye akili na mwenye mafanikio.
Read and Write CommentsKila mtu ni mrithi wake yeye mwenyewe. Mafanikio yako ya baadae ni urithi wako ulioutengeneza hapo awali. Utajiri wako wa sasa unatokana na uliyoyawekeza miaka ya nyuma na utajiri wako ujao ni yale unayoyawekeza sasa.
Read and Write CommentsKukosa mtu, kitu au jambo fulani kunasababila Moyo kujenga upendo kwenye mtu, kitu au jambo ulilolikosa.