Ujumbe kwa mpenzi kumuonyesha unavyompenda
Mapenz hayana msimu walam majira isipokuwa ni kama majani yaotayo popote kwani siyo mimi ni msukumo na hisia zangu. Nakupenda sana Read and Write Comments
SMS ya mapenzi ya mahaba kwa mpenzi wako aliyeko mbali
Kuna bahari kati yetu. Misitu na milima inatutenganisha,mimi si ‘Supamani’ lakini nipe sekunde moja nitavuka nchinyingi kukutumia mapenzi yangu. Umeipata hiyo? Pokea mapenzi yangu japo uko mbali. Read and Write Comments
SMS nzuri ya kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda kweli kwa moyo wake wote
Mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo, kuridhishana, kupeanabila kubaniana, kubusiana, kuheshimiana, kujaliana, kusubiriana, kusikilizana. je utaweza kunifanyia yote hayo? nijibu mpenzi. Read and Write Comments
Meseji nzuri ya salamu kwa umpendaye
Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee salamu “UHALI GANI MPENZI?” Read and Write Comments
SMS ya kumshawishi mtu kuwa una upendo wa dhati
moyo upendao kwa dhati.haujalish ni kababu au chapat.n wng wa upendo wenye tarakimu kama somo la hisabati.kumpata akupandae kwa dhati pia hyo n bahati.nimfikiriaye kwa sasa nahc anaupendo wa dhati.Nitashukuru anikaribishe naye nimuonyeshe upendo wa dhat.Huu ni ukaribisho wa penzi la dhati.wenye wing wa furaha na Lenye pendo la kitanashati. Read and Write Comments
Ujumbe wa kimapenzi wa kumwambia mpenzi wako kuwa haupo tayari kumpenda mwingine kwani unampenda yeye tuu
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidiyako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisiamoyoni mwangumpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda Read and Write Comments
Ujumbe mzuri kwa mpenzi wako kumuonyesha upendo
yapitayo mdomoni yametokea moyoni ,uyaonayo hadharaninimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wayakini. Read and Write Comments
SMS ya kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali
sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbalnami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayewezakukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi wangu! Read and Write Comments
Ujumbe wa kumwambia mpenzi wako ni mrembo na kumsihi asikuache
mpnz wangu ninavyo jua mm huwezi kutupa mawe kwenye mtiusiokuwa na matunda mazuri maana hivyo basi tambua ww nimrembo xanandani ya moyo wangu usiniache pekeyangu kwanina kupenda xana tabua hilo mpnz wangu Read and Write Comments
SMS ya kimahaba ya kumwambia mpenzi wako yeye ndiye yupo kwenye ubongo wako
Bongo zenye fikra kali huwa na mawazo, suluhu na sababu;ubongo wa kisayansi huwa na kanuni, nadharia na takwimu;wangu una wewe tu! Read and Write Comments








I’m so happy you’re here! 🥳













































































Recent Comments