Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke
Hiki ndiyo kifo. KIFO NI NINI.. Kifo ni pale girlfriend wako anapofanya fujo Club akiwatukana …
Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke Read More »
Read More Β»Hiki ndiyo kifo. KIFO NI NINI.. Kifo ni pale girlfriend wako anapofanya fujo Club akiwatukana …
Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke Read More »
Read More Β»Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe, Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000. …
Maisha ya kijijini hadi raha!! Read More »
Read More Β»Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπ, akaenda hospital akawekewa macho ya pakaππ±,
dokta akamuuliza: vipi saizi unaona?
Januari kweli kiboko Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani unakutana …
Januari kweli ngumu, soma hii Read More »
Read More Β»Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae
akamwambia kwa ukali
“Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo
zako naβ¦β¦..
Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, inabidi unisubiri mwembeni saa 1 usiku nitapita, mzee akafika saa 1 alikaa hadi saa 5 usiku, aliporudi nyumbani akamuuliza mkewe kwa hasira; sasa tumepanga nin halafu haujatokea ?
Read More Β»*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.* *mchaga* : _chips yai bei gani?_ *mhudumu*: _elfu 2_ …
Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi Read More »
Read More Β»(KIFO NI NIN)KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia BABA yako kipindi mnakula“hello Mrembo”ππ Kama …
Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani Read More »
Read More Β»*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa*πππππ …
Cheka kidogo na wewe hapa Read More »
Read More Β»BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.