
Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako kumuomba kukutana na wewe
Nakupenda sana P tafadhari usinikasirikie, nimekukumbuka nahitaji kukuona unipoze moyo wangu, njooo mwandani wangu nakusubiri daktari wangu. Read and Write Comments

Ujumbe wa mapenzi wa kumpa umpendaye thamani kubwa
Umbo lako kama sayari, lizungukapo umbile la juani kama upendo wa thamani usioweza kuuzika. Read and Write Comments

SMS nzuri ya kumtakia mpenzi wako asubuhi njema
Katika maisha nimejifunza mambo mengi ikiwemo,. Kupendwa, kupenda, kusamehe, kuvumilia, lakini nimeshindwa kujifunza kukusahau wewe kwa sababu umekuwa ukinikumbuka sana.. nakutakia ASUBUHI NJEMA

Ujumbe wa kimahaba kumwambia mpenzi wako umelimisi penzi lake
Mmmh!mpz cjui n kwann nahamu ya kufaid penz lako kiachk,?na taman lait ungekuwa krb yang unipme gonjwa hl naunitibu pia.kwan ww ndiye daktar wa pekee n naye mwamin.Nmemic kila k2 toka kwako nahc nazd kuchanganyikiwa kwaukosef wa penz lako.nakutaman sn wangu laaziz.Nakupenda kipenz cha moyo wangu. Read and Write Comments

Meseji nzuri ya kimahaba ya kumtakia mpenzi wako usiku mwema
Fungua macho yako uone kopa za mahaba ninazokumwagia,
fungua mikono yako na upokee mapenzi yangu,
fungua simu yako uone ni jinsi gani ninavyokukumbuka japo

SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako mpya
Mpenzi wangu T tambua kuwa ulimwengu tunaoishi una mambomuhimu matatu. Jambo la kwanza ni kumpata umpendaye, lapili ni kupata atakayekupenda la tatu ambalo ni kubwakuliko yote ni kwa jambo la kwanza na la pili kuunganapamoja. Nashukuru nimekupata wewe nikupendaye, naomba unipende na uungane name Read and Write Comments

Meseji ya kimahaba ya kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda
Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakamaya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimimilele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa? Read and Write Comments

Ujumbe mzuri wa mapenzi wa kimahaba kumwambia mpenzi wako unavyompenda
Mpenzi huwa unanipagawisha unaponipumulia pumzi masikioninasikia raha.Niliandika upendo wangu kwako kwenye majani ng’ombeakala,nikaandika kwenye jiwe mvua ikafuta ,nikaandikakwenye sms likafutwa lakini nimeandika moyoni mwanguhalitafutika kamwe. Read and Write Comments

SMS ya Birthday ya kumtakia mpezi wako heri ya sikukuu ya kuzaliwa
Dear siku zimekaribia, miaka โฆโฆ utatimiza katika hii dunia,hakika najivunia kupata mpenzi aliyetulia,hongera kwa wako wazazi kwa kunizalia kipenzi,zawadi yangu toka kwangu ni ahadi ya kulienzi lako penzi.Happy Birthday mpenzi. Read and Write Comments

Meseji ya pongezi kwa mpenzi wako
pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi lamapenzi,ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawilichumbani.penzi lako halichakai daima huzaliwa upya. Read and Write Comments
Recent Comments