
Ujumbe mzuri wa kimapenzi wa kumwambia mpenzi mapenzi huanza na wewe na yeye
Maneno huanza na ABC. Namba 123. Muziki na do re mi namapenzi huanza na mimi na wewe. Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mkeo mtarajiwa kumsifia alivyoumbika
Kila nikuonapo napata weweseko, yako miondoko si ya kitotona zaidi wajua kuweka mikogo, umeumbika si kitoto,nahitaji uwe wangu mama watoto! Read and Write Comments

Ujumbe wa kumwambia mpenzi wako kuwa huna linalokuhuzunisha maishani kwa kuwa mnapendana
Imani hufanya mambo yote yawezekane, Matumaini hufufuayaliyopoteza uhai, lakini mapenzi hufanya mambo yoteyaonekane mazuri. Sina linalonihuzunisha maishani mwangukwa kuwa tunapendana! Read and Write Comments

SMS ya kujivunia mpenzi wako
tunda langu laangaliwa hawajui nilipoli chuma,utamu wake maridhawa,hakika utalipenda.si mpi tunda langu mwingine na lila mwenyewe. Read and Write Comments

SMS nzuri ya kumtakia mpenzi wako asubuhi njema
Katika maisha nimejifunza mambo mengi ikiwemo,. Kupendwa, kupenda, kusamehe, kuvumilia, lakini nimeshindwa kujifunza kukusahau wewe kwa sababu umekuwa ukinikumbuka sana.. nakutakia ASUBUHI NJEMA

SMS ya kumwambia mpenzi wako kuwa penzi lako kwake ni la kipekee
Anayekupenda ni mimi,watakaokutamani ni wengi,tafuta dunianzima penzi langu la kweli huwezi kulipata,penzi langukwako ni nuru daima halizimiki. Read and Write Comments

Meseji ya kimahaba ya kumuuliza mpenzi wako kama anakupenda
Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakamaya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimimilele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa? Read and Write Comments

SMS ya kumtumia mpenzi wako wakati wa usiku
Uamkapo nitakupa langu tabasamuUkweli wa moyo utawale roho yakoKwani macho yako ndo uzuri kwanguNakupenda sasa na milele kipenzi change Read and Write Comments

Meseji nzuri ya kumjalia hali umpendaye
USikimbie nyuki ukakosa asali, utamu wa samaki ni kula nawali,usizidishe siki akawa mkali.Nimimi niliye na dhiki nakujulia tu hali. Read and Write Comments

SMS nzuri ya mapenzi ya kutakia usiku mwema
Mungu akupe umri wa mnazi uishi mingi miaka.Akupe thamani ya mnazi kila kitu chatumika.Kuanzia kuti lake mpaka kwenye kidaka.Kitale katikati yake ukila utaridhika.Matamu na maji yake hukata kiu haraka.Weupe watui lake lina ladha ukipika.Kupaka mafuta yake mwili hulainika.Na kwenye machicha yake kazi nying hufanyika.Hata na upepo wake uvumapo utacheka.Sikijui kitu chake kipi kisichotumika.usiku mwema Read …
Recent Comments