SMS ya kumtumia mpenzi wako kumwambia kuwa yeye ni wa kipekee na utampenda daima
Weupe wa penzi lako ni kama mwezi angani.Ucheshi na mahabayako nifananishe na nini? Kupata mfano wako hatotokeaamini. Elewa mimiwako sikuachi asilani Read and Write Comments
SMS ya kumtumia mmeo au mpenzi wako unapokuwa kwenye siku zako
Nina habari nzuri nataka kukuambia kuna mgeni leo kajakunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwasasa siwezi kukupatiakwa maana mgeni kashakuharibianakupenda dear Read and Write Comments
Meseji ya kumkumbusha mpenzi wako kuwa unampenda
Mapenzi ni magumu na yatabaki kuwa hivyo, lakini kumbukakuna akupendaye naye ni MIMI!. Read and Write Comments
SMS nzuri ya mapenzi ya kutakia usiku mwema
Mungu akupe umri wa mnazi uishi mingi miaka.Akupe thamani ya mnazi kila kitu chatumika.Kuanzia kuti lake mpaka kwenye kidaka.Kitale katikati yake ukila utaridhika.Matamu na maji yake hukata kiu haraka.Weupe watui lake lina ladha ukipika.Kupaka mafuta yake mwili hulainika.Na kwenye machicha yake kazi nying hufanyika.Hata na upepo wake uvumapo utacheka.Sikijui kitu chake kipi kisichotumika.usiku mwema Read …
SMS ya ujumbe wa kimahaba wa kifumbo kwa mpenzi wako
Kila mtu anataka kuwa jua linalong’arisha maisha yako,lakini ni afadhali niwe mwezi, ili nikuangazie wakati wagiza ambapo jua limechwea na haliangazi tena. Read and Write Comments
SMS ya kumsihi mpenzi wako asiende kwa mwingine
Nakupenda sana mwandani wangu ndiyo maana moyo wanguhupatwa kidonda ninaokuona na mwingine hasa anapokuwa hanasifa, nahisi kama anakutumia wewe kama mdori wake wakumfurahisha. Uwe makini ua la moyo wangu. Read and Write Comments
Ujumbe wa meseji wa kumsihi mpenzi wako mdumishe mapenzi yenu
Ni vigumu kumpata mwenye mapenzi ya kweli na zaidi yuleatakayekuwa tayari kukupenda zaidi, hivyo nafasiinapopatika si busara kuichezea tudumishe penzi letulaazizi wangu. Read and Write Comments
SMS nzuri ya mapenzi ya kutakia usiku mwema
Mungu akupe umri wa mnazi uishi mingi miaka.
Akupe thamani ya mnazi kila kitu chatumika.
Kuanzia kuti lake mpaka kwenye kidaka.
Kitale katikati yake ukila utaridhika.
SMS nzuriiii ya kumpa mtu hai
Nakupa HAI, kwa sababu uko HAI, usingekuwa HAI, ni vigumu kupewa HAI, basi nawe wape HAI, walio HAI, maana ni bahati kuwa HAI, wengi walitamani kuwa HAI, lakini wamepoteza UHAI,
SMS nzuri ya kumwambia mpenzi wako kuwa upo tayari kumvumilia
Kama ungekuwa kidonda kwenye moyo wangu, ningekiacha namaumivu yake ndani yangu. Read and Write Comments










I’m so happy you’re here! 🥳













































































Recent Comments