
SMS ya kumwambia mpenzi wako kuwa penzi lako kwake ni la kipekee
Anayekupenda ni mimi,watakaokutamani ni wengi,tafuta dunianzima penzi langu la kweli huwezi kulipata,penzi langukwako ni nuru daima halizimiki. Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba kwa mpenzi wako
Nitaenda mbali Zaidi ya maono yakoSafarini nitajenga hekalu la pendo letuNitapuliza filimbi kama ishara ya utambulisho wakoNa mwanzo wa sherehe ya ndoa yetu Read and Write Comments

SMS nzuri ya kumwambia mpenzi wako kuwa anayo moyo wako
Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yanguusikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee,lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe. Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba wa kumuuliza mpenzi wako anayatumiaje mapenzi
pendo ni silaha kali zaidi duniani hu uwa wasio na hatiana hujeruhi bila kutarajia,wengine hujitolea muhanga nayo,silaha hiyo itumikapo vizuri huleta marafiki na kuongezafuraha,je we unaitumiaje silaha hiyo? Read and Write Comments

Ujumbe wa kumwambia mpenzi wako kuwa unampenda yeye tuu
Ingawa mwaka umekwisha, mawazo yangu katu sitobadilisha, amini ni wewe pekee unayenipagawisha, hakika kwa penzi lako kiu yangu katu haitakwisha! Read and Write Comments

Ujumbe wa kimapenzi wa kumuahidi kumpa mahaba mpenzi wako
Hakika wewe ndiye wangu mahabuba unayejua kunipa huba,napenda unavyoniganda mithili ya ruba, nahahidi kukupamahaba yanayozidi shaba. Nakupenda. Read and Write Comments

SMS kali ya kimahaba ya kumtumia mpenzi wako kumwambia alivyokuteka moyo na akili zako
Mpenzi wangu kukutana nawe ilikuwa ni bahati, kukuchagua kuwa rafiki yangu ilikuwa ni maamuzi yangu, lakini kuanguka kwenye penzi lako haikuwa hiyari yangu. Umeniteka moyo na akili yangu pia. Read and Write Comments

SMS ya kumtumia mmeo au mpenzi wako unapokuwa kwenye siku zako
Nina habari nzuri nataka kukuambia kuna mgeni leo kajakunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwasasa siwezi kukupatiakwa maana mgeni kashakuharibianakupenda dear Read and Write Comments

Meseji ya kumwambia mpenzi unampenda peke yake
mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahabasili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwezkuipeza,nakupenda wewe pekee Read and Write Comments

Ujumbe wa kimapenzi wa kumwambia mpenzi wako kuwa haupo tayari kumpenda mwingine kwani unampenda yeye tuu
sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidiyako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisiamoyoni mwangumpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda Read and Write Comments
Recent Comments