
Meseji ya kumtahadharisha mpenzi wako na maadui wa penzi lenu
Mpenzi unawafahamu maadui wa mapenzi yetu ? Ni wale rafikizako wanaokuletea maneno ya uongo, ndugu zakowanaotugombanisha na wachawi wanotuotea mabaya,tujihadhari tusiwape ushindi. Mapenzi yetu yadumu daima. Read and Write Comments

Ujumbe kwa mpenzi kumuonyesha unavyompenda
Mapenz hayana msimu walam majira isipokuwa ni kama majani yaotayo popote kwani siyo mimi ni msukumo na hisia zangu. Nakupenda sana Read and Write Comments

Meseji ya kumshauri mtu kuhusu kupenda
Usimpende mtu tuu kwa sababu uko mpwekeAu kwa sababu ana pesa, kwa sababu upendoSio pesa wala siluhisho la matakwa yako. Read and Write Comments

SMS nzuri ya mapenzi ya kimahaba ya kutuma kwa mpenzi wako umpendaye
Fikra hutawala mtima wangu, Kwa madhila yalojaa duniani, Kwa muhali wa yanayojiri, Kwa machweo na mawio, Kwa totoro ama nuruni, Nao moyo hukosa ukamilifu, Kwa utashi wa zake hisia, Zinipazo sababu kuu, Ya upendo juu yako, Ya kukufanya daima uwe, Mawazoni mwangu. Mawazoni ama ndotoni, Daima wewe hutawala, Kila asubuhi niamkapo, Nao usiku nilalapo, U …
SMS nzuri ya mapenzi ya kimahaba ya kutuma kwa mpenzi wako umpendaye Read More »

Ujumbe wa kumwambia mpenzi wako ni wa thamani kwako kwa hiyo akikuacha atakuumiza
Nakupéndä mpènzi wèwè ùnåumuhimu mkubwa kwenye maishayangu kwani ukiniacha mpenzi utanisababishia kovu ambalohalitapona .nakupenda sana Read and Write Comments

Meseji ya kumsihi mpenzi wako muendelee kupendana kwa kuwa yeye ni wa kipekee
Wewe ni wapekee ninaekupenda, sifikirii kukusaliti na walasina wazo la kukutenda, nakuombatuendelee kupendana siku zote habbity wangu Read and Write Comments

Ujumbe mzuri wa SMS wa kumfariji mpenzi wako maisha yake yanapokuwa magumu
Furaha yangu kubwa ni kuliona tabasamu lako, kujua uko nafuraha, na kuhisi upendo wako. Najua kuwa maisha maranyingine huwa ni makatili, na hiyo ni sababu niko hapakukuonyesha kuwa maisha yanaweza kuwa mazuri kama kuna mtuanayekujali. Read and Write Comments

SMS ya kutuma kwa mpenzi wako asubuhi
Ewe mwanga angaza mboni ya penzi letuNdilo sababu ya nguvu yanguTangulia pembeni mwa macho yakeAsubuhi hii hadi usiku ujao Read and Write Comments

Meseji ya kumkumbusha mpenzi wako kuwa unampenda
Mapenzi ni magumu na yatabaki kuwa hivyo, lakini kumbukakuna akupendaye naye ni MIMI!. Read and Write Comments

SMS ya kimahaba ya kumtumia mpenzi wako unayempenda
Nimezunguka pande zote za Tanzania machonikiyaangazakumsaka mrembowakumkabidhi wangu moyo wenye upendondani yake na kulilaTUNDA lakekwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisikama wewe ndiyeulie uteka moyo wangu.nakupenda laaziz Read and Write Comments
Recent Comments