60% Off!

📕Kitabu cha Mbinu za Kilimo Bora Cha Mboga🌿🍅

(68 customer reviews)

Sh3,000

Ni kitabu kinachotoa elimu ya Kilimo Cha Mboga. Kipo katika Mfumo wa PDF (Soft copy).

Kina kurasa 100 na utaalamu wa mazao zaidi ya 10.

Kitabu hiki kimegawanyika katika sehemu mbili kama ifuatavyo;-

Sehemu ya kwanza ni sehemu ya mbinu za kilimo cha mboga ambapo utaweza kufahamu mbinu mbalimbali za kilimo cha mboga kama vile kuandaa shamba na kitalu, udhibiti wa wadudu na magonjwa katika mboga, kuvuna na kuhifadhi mboga, vilevile utajifunza kuhusu kilimo cha matone.

Sehemu ya pili inaelekeza jinsi ya kulima mazao mbalimbali ya mboga kuanzia hali ya hewa inayohitajika, udongo, upandaji, utunzaji, magonjwa na wadudu pamoja na uvunaji. Kuna mazao kumi (10) yaliyotolewa maelezo haya.

Kwa hiyo utajifunza kilimo cha mazao hayo yote 10 ambayo ni;

  1. Nyanya,
  2. Kabichi,
  3. Bamia,
  4. Vitunguu maji,
  5. Vitunguu twaumu,
  6. Hoho,
  7. Matikiti,
  8. Karoti,
  9. Uyoga
  10. Matango

Bila kusahau kilimo cha mboga kama

  1. Chainizi
  2. Mchicha.

Kitabu hiki ni Soft copy [pdf] kwa hiyo unaweza kusoma moja kwa moja kwenye simu yako.

Bofya “Click Here to Download” kuchukua. Utaingiza taarifa zako ili uweze kudownload na kuhifadhi/kutumiwa kwenye Email yako.

 

Category:

Kitabu hiki ni muhimu kwa mkulima yeyote hasa anayeanza kulima au ambaye angependelea kulima mboga baadae.

Ni muongozo mzuri wa kilimo cha mboga.

Kina Utaalamu wa Mazao 10 ambayo ni;

  1. Nyanya,
  2. Kabichi,
  3. Bamia,
  4. Vitunguu maji,
  5. Vitunguu twaumu,
  6. Hoho,
  7. Matikiti,
  8. Karoti,
  9. Uyoga
  10. Matango

Bila kusahau kilimo cha mboga kama

  1. Chainizi
  2. Mchicha.

DOWNLOAD KITABU CHA MBINU ZA KILIMO CHA MBOGA HAPA

Enjoyed? Rate this Article by click a Star Above and then Drop your Comment Below
OR Chat Live with AckySHINE here
Subscribe
Notify of
guest

Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Shopping Cart
📕Kitabu cha Mbinu za Kilimo Bora Cha Mboga🌿🍅
Sh3,000