
Ujumbe wa kumwambia mpenzi wako ni mrembo na kumsihi asikuache
mpnz wangu ninavyo jua mm huwezi kutupa mawe kwenye mtiusiokuwa na matunda mazuri maana hivyo basi tambua ww nimrembo xanandani ya moyo wangu usiniache pekeyangu kwanina kupenda xana tabua hilo mpnz wangu Read and Write Comments

SMS ya kuahidi kumpenda mpenzi wako milele
Niliumbwa kwa ajili yako, mbele yako nitakushika mkono, nikuonyesha sayari yangu, pendo langu

Ujumbe wa kumtumia mpenzi wako wakati anahuzuni kumwambia kuwa uko kwa ajili yake
Nitafute wakati una huzuni, nitafute wakati hamna wakukusikiliza. Sijali kama mimi ni kimbilio lako la mwisho,bali sipendi ulie peke yako. Read and Write Comments

SMS ya ujumbe wa kimahaba wa kifumbo kwa mpenzi wako
Kila mtu anataka kuwa jua linalongโarisha maisha yako,lakini ni afadhali niwe mwezi, ili nikuangazie wakati wagiza ambapo jua limechwea na haliangazi tena. Read and Write Comments

SMS ya kimahaba kwa mpenzi wako kumwambia unampenda sana hutaki hata sekunde ipite bila kumpenda
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu,basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bilakukupenda wewe. Read and Write Comments

SMS nzuri ya kimahaba kumwambia mpenzi wako jinsi unavyotamani uwe naye kila sehemu na kila wakati
Kila unachokifanya natamani niwepo, nikitumainia kilandoto yako itimie kila muda na sehemu, niwepo nikikutakiamafanikio mema kwasababu nakujali. Read and Write Comments

Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa utampenda mpaka mwisho wa uhai wako
Penzi lako ndiyo pumzi yangu nawezaje kukuacha laazizi,ina maana nife??? Siwezi kukuacha nakupenda. Nitakupendampaka mwisho wa uhai wangu. Read and Write Comments

Ujumbe kwa umpendaye kumwambia unavyotamani kuwa na yeye
Ningependa siku moja utamani sana kuwa na mimi, nauhangaike sana kunitafuta, ili ujue ni kwa kiasininavyotamani kuwa nawe sasa. Read and Write Comments

SMS ya kumuahidi mpenzi wako kuwa utaendelea kumpenda
Moyo wangu umehifadhi hisia zako, nakuahidi kamwesintopunguza upendo kwako, tunza sms hii yaahadi kwenye simu yako, iwe kumbukumbu kila uisomapo!“NAKUPENDA MALAIKA WANGU” Read and Write Comments

SMS ya kumwambia mpenzi wako unavyompenda na hautarajii kumsaliti
nimeulizwa nmependa nin kwake huyo ninaye mtumia ujumbehuu nami nikajb saf roho yake nzur tabia yake ,majvunohayapo kwake,nkaulzwa je unampenda kwa dhati ?nami nikajibu ndiyo nacpotayar kumsaliti na lbd aanze yeye Read and Write Comments
Recent Comments