SMS ya kimahaba kwa mpenzi wako kumwambia unampenda sana hutaki hata sekunde ipite bila kumpenda
Kama mapenzi huweza kukimbiwa kwa kufumba macho yetu tu,basi nisingefunika macho kabisa. Sitaki sekunde ipite bilakukupenda wewe. Read and Write Comments
Ujumbe mzuri wa SMS wa usiku mwema kwa mpenzi wako umpendaye
Mungu akubariki uwe mwiz wa ujuzi na maarifa, mlafi wa
kushauri, mroho wa busara, mchoyo wa matusi, mlevi wa
upendo na kiherehere cha kuabudu.
SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako kumuonyesha unavyompenda
Naweza kukuazima mabega yangu upande, masikio yangu usikilizie mikono yangu ushikie, miguu yangu, utembelee, lakini si moyo wangu kwani tayari unao wewe. Read and Write Comments
SMS nzuri ya kumwambia mpenzi wako jisni anavyokuchanganya kwa unavyompenda
Watu waliniambia ninaweza kufanya chochote kama tunitaweka mawazo yangu juu ya hicho kitu. Lakini kilanikijitahidi unaipoteza akili yangu Read and Write Comments
SMS nzuri ya kumwambia mpenzi wako unampenda
Ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. Neno hilo haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu Linatokea Bila kujua na halina sababu. Neno hilo mi mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo Kasi Na Kusi. Nakupenda sana Dear Read and Write Comments
Ujumbe mzuri wa kumwambia mpenzi wako kuwa yeye tuu mdiye kakutawala
Fikra hutawala mtima wangu,Kwa madhila yalojaa duniani,Kwa muhali wa yanayojiri,Kwa machweo na mawio,Kwa totoro ama nuruni,Nao moyo hukosa ukamilifu,Kwa utashi wa zake hisia,Zinipazo sababu kuu,Ya upendo juu yako,Ya kukufanya daima uwe,Mawazoni mwangu. Mawazoni ama ndotoni,Daima wewe hutawala,Kila asubuhi niamkapo,Nao usiku nilalapo,U chakula changu akilini,Nalo tulizo langu moyoni,Daima huuwaza upekee,Wewe uliojaaliwa,Na hivyo naihisi furaha,Daima wewe uwapo,Mawazoni …
Ujumbe mzuri wa kumwambia mpenzi wako kuwa yeye tuu mdiye kakutawala Read More »
Ujumbe wa kumwambia mtu unayempenda unatamani akupende
Raha ya ucngz ni ucngz . . . .”tamu”ya penzi ni ndoto .Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahinikiwa mimi, Read and Write Comments
Ujumbe wa mapenzi kwa umpendaye kwa dhati
Nakupenda usiku na mchanaNakuwaza siku zote za maisha yangu Read and Write Comments
Ujumbe wa kimahaba kuhusu upendo wa kumwambia mpenzi wako
upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka… .upendo ni lugha ,kwamba kila mmoja anaongea,upendo hauwez kununuliwa,na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,nisiri ya maisha matamunakupenda mpenzi Read and Write Comments
Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali na wewe kumwambia unavyommisi
Mawingu yametanda napanda kwenye kitanda,macho nayaangaza,taratibu navuta shuka na kujitanda,mishumaa pembezoni inaniangaza,mziki laini wanibembeleza kitu pekee nilichokikosani joto lako na vijimambo vyako kunako kitanda! Read and Write Comments








I’m so happy you’re here! 🥳













































































Recent Comments