
Ujumbe wa kimahaba kwa umpendaye sana
Kama ningeweza kubadili herufi, ningeweka yangu na yakokuwa pamoja Read and Write Comments

Ujumbe mzuri wa kumtumia mpenzi wako umpendaye sana
Lazima utakuwa mwizi sababu umeiba moyo wangu, umechokasababu unakimbia mara zote akilini mwangu, na labda mimisina shabaha sababu mara zote nikikulenga nakukosa. Read and Write Comments

SMS ya kumtumia mpenzi wako kumwambia kuwa yeye ni wa kipekee na utampenda daima
Weupe wa penzi lako ni kama mwezi angani.Ucheshi na mahabayako nifananishe na nini? Kupata mfano wako hatotokeaamini. Elewa mimiwako sikuachi asilani Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia mkeo mtarajiwa kumsifia alivyoumbika
Kila nikuonapo napata weweseko, yako miondoko si ya kitotona zaidi wajua kuweka mikogo, umeumbika si kitoto,nahitaji uwe wangu mama watoto! Read and Write Comments

Ujumbe wa kimahaba kumuomba mpenzi wako asichoke kuwasiliana na wewe kwa kutumia simu
Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue mesejina kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichokekwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane Read and Write Comments

Meseji ya kumuomba mpenzi wako asikuache kwa kuwa unampenda sana
Mapenzi ni matamu napia yana raha, wewe hauni ishi hamu,siku zote wanipa raha, wewe kwangu ni mtumuhimu, unaeng’aa moyoni mwangu kama nyota ya jaha.“NAKUOMBA USINIACHE MPENZI WANgu Read and Write Comments

Meseji nzuri ya kumwambia mpenzi wako aache umpende kwa kuwa ni mzuri kwele kweli
Utamu wako ni zaidi ya asali, ni wa asili usiohitajikuongezewa ladha ya sukari, nitaumiss endapokama ukiwa mbali “NIACHE NIKUPENDE SWEET” Read and Write Comments

SMS nzuri ya mapenzi ya kimahaba ya kutuma kwa mpenzi wako umpendaye
Fikra hutawala mtima wangu, Kwa madhila yalojaa duniani, Kwa muhali wa yanayojiri, Kwa machweo na mawio, Kwa totoro ama nuruni, Nao moyo hukosa ukamilifu, Kwa utashi wa zake hisia, Zinipazo sababu kuu, Ya upendo juu yako, Ya kukufanya daima uwe, Mawazoni mwangu. Mawazoni ama ndotoni, Daima wewe hutawala, Kila asubuhi niamkapo, Nao usiku nilalapo, U …
SMS nzuri ya mapenzi ya kimahaba ya kutuma kwa mpenzi wako umpendaye Read More »

Meseji ya kumbembeleza mpenzi wako aje kwako
mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioishahamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulishaunachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. ..njo leo uniambie unataka nini? Read and Write Comments

SMS ya mshale wa mapenzi kwa umpendaye
»–——»> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktkmaisha yangu na kama umekutana naousiukwepe uacheuchome Moyo wako gharamaza matibabu juu yangu. Read and Write Comments
Recent Comments