Ujumbe mzuri wa kumtumia mpenzi wako kumtakia usiku mwema
“””””Yule”””””Anipendezae lazima nimkumbuke””“”nimpe salamu “”moyo””wangu “”uridhike””“”Nimuombee kwaMWENYEZI “”MUNGU”” mabaya yamuepuke””“”na kila lililo la kheri kwake lisiondoke””“”nakutakia””“ucku mwema” Read and Write Comments
Ujumbe wa kumwambia mpenzi wako kuwa unampenda yeye tuu
Ingawa mwaka umekwisha, mawazo yangu katu sitobadilisha, amini ni wewe pekee unayenipagawisha, hakika kwa penzi lako kiu yangu katu haitakwisha! Read and Write Comments
SMS nzuri ya mapenzi ya kimahaba ya kutuma kwa mpenzi wako umpendaye
Fikra hutawala mtima wangu, Kwa madhila yalojaa duniani, Kwa muhali wa yanayojiri, Kwa machweo na mawio, Kwa totoro ama nuruni, Nao moyo hukosa ukamilifu, Kwa utashi wa zake hisia, Zinipazo sababu kuu, Ya upendo juu yako, Ya kukufanya daima uwe, Mawazoni mwangu. Mawazoni ama ndotoni, Daima wewe hutawala, Kila asubuhi niamkapo, Nao usiku nilalapo, U …
SMS nzuri ya mapenzi ya kimahaba ya kutuma kwa mpenzi wako umpendaye Read More »
Meseji ya pongezi kwa mpenzi wako
pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi lamapenzi,ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawilichumbani.penzi lako halichakai daima huzaliwa upya. Read and Write Comments
Ujumbe mtamu wa mahaba kwa umpendaye kumwambia maana ya upendo
upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka… .upendo ni lugha ,kwamba kila mmoja anaongea,upendo hauwez kununuliwa,na icyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,nisiri ya maisha matamunakupenda mpz Read and Write Comments
SMS ya kumwomba mpenzi wako msamaha unapomkosea
Wewe ni taa kwangu imulikayo gizani,nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo,utakuwa wangu siku dear!Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya,naomba unisamehe na ninaahidikutorudia tena katika penzi letu! Read and Write Comments
SMS ya kimahaba ya kumtumia mpenzi wako unayempenda
Nimezunguka pande zote za Tanzania machonikiyaangazakumsaka mrembowakumkabidhi wangu moyo wenye upendondani yake na kulilaTUNDA lakekwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisikama wewe ndiyeulie uteka moyo wangu.nakupenda laaziz Read and Write Comments
SMS kali ya kimahaba kumwambia mpenzi wako unavyoogopa kwa kuwa unampenda sana
Mpenzi kwa mara ya kwanza nilipokuana niliogopa kukuambia,hata nilipokuambia niliogopa kukupenda, nilipokupenda sasanaogopa mno kukupoteza. Kusema kweli siko tayari kukukosakatika maisha yangu. Read and Write Comments
Ujumbe mzuri wa kumtumia mpenzi wako kumtakia usiku mwema
“””””Yule”””””
Anipendezae lazima nimkumbuke””
“”nimpe salamu “”moyo””
wangu “”uridhike””
“”Nimuombee kwa
MWENYEZI “”MUNGU”” mabaya yamuepuke””
“”na kila lililo la kheri kwake lisiondoke””
“”nakutakia””
“ucku mwema”
Ujumbe wa Kimahaba wa kumwambia mpenzi wako upo tayari hata kumpa maisha yako
Kama busu ni maji ningekupatia bahari, kukumbatia nimajani, ningekupa msitu. Mapenzi ni maisha ningekupa yangubure. Read and Write Comments









I’m so happy you’re here! 🥳













































































Recent Comments