
Ujumbe mzuri wa mapenzi kwa umpendaye akupende zaidi
Moyo wng mtiifu,2li ume2a kwako,kwang huna upungufu yote nimekupa hekoo,utunze na ulee pia uujali kama mama yako alivyofanya kwako. Read and Write Comments

SMS ya kumtumia mpenzi wako aliyeko mbali
sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbalnami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayewezakukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi wangu! Read and Write Comments

SMS ya shukrani kwa mpenzi kumshukuru kwa kukupenda
moyo wangu saafi kama upole wa tausi wingi wa baridi kama maji ya mtungi ,yote ni kutokana na mapenzi unayonipatia. ASANTE KWA KUNIPENDA MPENZI Read and Write Comments

SMS ya kumwambia mpenzi wako kuwa bado unampenda na hujabadilika
“Japokuwa” “Kuku” “Haogi” “Yai” “Lake” “Litabaki” “Kuwa” “Jeupe” “Tu” “Namaanisha” “Kuwa” “Hata” “Kama” “Ukiona” “Nipo” “”KIMYA”” Muda” “Mrefu” “”UPENDO”” “Wangu” “Kwako” “””Bado”””

SMS ya kumwambia mpenzi wako kuwa bado unampenda na hujabadilika
“Japokuwa” “Kuku” “Haogi” “Yai” “Lake” “Litabaki” “Kuwa” “Jeupe” “Tu” “Namaanisha” “Kuwa” “Hata” “Kama” “Ukiona” “Nipo” “”KIMYA”” Muda”“Mrefu” “”UPENDO”” “Wangu” “Kwako” “””Bado””” “Uko” Pale pale!!!!! Usijali“Tupo Pamoja” “Kwa” “Asilimia 100%”. Read and Write Comments

SMS Nzuri za Mapenzi
mapenzi ni safari,mapenzi ni ahadi,mapenzi niujasiri,mapenzi ni zawadi,mapenzi mitihani,mapenziramani,mapenzi ajali na ndiyo maana nakupenda wewe bila kujali. Read and Write Comments

Meseji ya kumkaribisha mpenzi wako
Njoo pendo langu nikutembezekatika milango ya furahaNikuwakilishe mbele ya majamaa zanguNikuonjeshe asali ya pendo langu Read and Write Comments

Ujumbe wa kumwambia umpendaye kuwa ni pengo lisilozibika milele kwa hiyo asikuache
nikipoteza kitu cha thamani nitauzunika nitasahau ilanikikupoteza wewe ni pengo lisilozibika kamwe. Read and Write Comments

Ujumbe mzuri wa kimapenzi wa kumwambia mpenzi mapenzi huanza na wewe na yeye
Maneno huanza na ABC. Namba 123. Muziki na do re mi namapenzi huanza na mimi na wewe. Read and Write Comments

SMS nzuri ya kumtumia mpenzi wako mpya
Mpenzi wangu T tambua kuwa ulimwengu tunaoishi una mambomuhimu matatu. Jambo la kwanza ni kumpata umpendaye, lapili ni kupata atakayekupenda la tatu ambalo ni kubwakuliko yote ni kwa jambo la kwanza na la pili kuunganapamoja. Nashukuru nimekupata wewe nikupendaye, naomba unipende na uungane name Read and Write Comments
Recent Comments