SMS nzuri ya kumwambia mpenzi wako unampenda
Ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na likutumiwa vibaya halina maana wala thamani.Neno hilo haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu Linatokea Bila kujua na halina sababu.Neno hilo mi mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo Kasi Na Kusi.Nakupenda sana Dear Read and Write Comments
SMS ya kumwambia mpenzi wako anakufaa kwa kila kitu
Maji hunitosha nisikiapo kiu, chakula hinitosha nisikiapo njaa, lakini wewe hunifaa kwa kila kitu! Read and Write Comments
Meseji ya kumtumia dia wako kumuonyesha jinsi unavyompenda
ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama naliku2miwa vbaya halna maana wala thaman. neno hlohaliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila 2Linatokea Bila Kujua Na Halina 7bb.neno Hlo Mi MwenyeweSilijui Ila Ndo Lina2fanya 2we Pamoja Japo 2po Kas Na Kus.Nakupenda Xana Dia Read and Write Comments
Ujumbe wa kimahaba wa kumwambia mpenzi wako anavyokukosha na kumuomba asiende kwa mwingine
Hakika nimepata tabibu, maradhi yangu wajua kujyatibu,napenda jinsi unavyonitibu, huna papara yaani ni taratibu,mpenzi usijemuonyesha mwingine hizo zako zabibu, maswahibuyakatayonisibu hakuna atakayeweza kuyatibu, nakupenda Read and Write Comments
SMS tamu ya kimahaba ya kumuomba mpenzi wako asiende mbali na wewe
Mapigo yangu ya moyo huongezeka pindi nisipokuona japo kwadakika plz mpenzi kaa karibu yangu utulize mapigo Read and Write Comments
Ujumbe wa kumwambia umpendaye kuwa ni pengo lisilozibika milele kwa hiyo asikuache
nikipoteza kitu cha thamani nitauzunika nitasahau ilanikikupoteza wewe ni pengo lisilozibika kamwe. Read and Write Comments
SMS ya kumsihi mpenzi wako akupende kabla hajachelewa
ITAKUA” Kama “NDOTO” Pale “MOYO” Wangu Utakapozima Kama “MSHUMAA” Uliopulizwa Kwa Upepo. Utatamani Niamke Angalau Usikie “SAUTI” Yangu Lakini Utakuwa umesha chelewa, ”KILIO’ ‘HUZUNI’ SIMANZI” na “MAJONZI zitakuwa zimetanda ktk KUTA za MOYO wako MACHOZI Yatakutoka kila utakapo kumbuka ucheshi WANGU kwako na MOYO Utakuwa Mpweke kila utakapoiona namba YANGU Kwenye simu YAKO Utatamani uifute …
SMS ya kumsihi mpenzi wako akupende kabla hajachelewa Read More »
Meseji ya kumwambia mpenzi wako kuwa umezama kwake
tazama, nimezamandani ya baharila penzi lakosiwezikusonga mbelekurudi nyumasijielewihaya mapenzi ya fujo hayafaikama wanipendajaribu kunipa raha Read and Write Comments
SMS nzuri ya mapenzi ya kutakia usiku mwema
Mungu akupe umri wa mnazi uishi mingi miaka.Akupe thamani ya mnazi kila kitu chatumika.Kuanzia kuti lake mpaka kwenye kidaka.Kitale katikati yake ukila utaridhika.Matamu na maji yake hukata kiu haraka.Weupe watui lake lina ladha ukipika.Kupaka mafuta yake mwili hulainika.Na kwenye machicha yake kazi nying hufanyika.Hata na upepo wake uvumapo utacheka.Sikijui kitu chake kipi kisichotumika.usiku mwema Read …
Ujumbe mzuri wa mapenzi wa kimahaba wa kumtumia mpenzi wako siku ya wa pendanao au siku ya valentine
Wewe pekee upo moyoni mwangu, nitaendelea kukupenda sikuzote za maisha yangu! Katika siku hii ya wapendanao, wewendiyo ua la moyo wangu! Read and Write Comments










I’m so happy you’re here! ๐ฅณ














































































Recent Comments