SMS kwa mpenzi anayeishi mbali
Ni ngumu kwa watu wawili kupendana wanapoishi Duniatofauti, lakini Dunia hizo zikutanapo na kuwa kitu kimoja,hiyo ndiyo maana ya kuitwa wewe na mimi. Read and Write Comments
Meseji nzuri ya salamu kwa umpendaye
Pokea sms yangu iliyojaa utamu, nimeipamba kwa maneno laini yenye ladha adimu, utamu wake ni kama apple haufanani na ndimu, nimeituma kwako sms hii ikuletee salamu “UHALI GANI MPENZI?” Read and Write Comments
Ujumbe mzuri wa kumwambia mpenzi wako kuwa yeye tuu mdiye kakutawala
Fikra hutawala mtima wangu,Kwa madhila yalojaa duniani,Kwa muhali wa yanayojiri,Kwa machweo na mawio,Kwa totoro ama nuruni,Nao moyo hukosa ukamilifu,Kwa utashi wa zake hisia,Zinipazo sababu kuu,Ya upendo juu yako,Ya kukufanya daima uwe,Mawazoni mwangu. Mawazoni ama ndotoni,Daima wewe hutawala,Kila asubuhi niamkapo,Nao usiku nilalapo,U chakula changu akilini,Nalo tulizo langu moyoni,Daima huuwaza upekee,Wewe uliojaaliwa,Na hivyo naihisi furaha,Daima wewe uwapo,Mawazoni …
Ujumbe mzuri wa kumwambia mpenzi wako kuwa yeye tuu mdiye kakutawala Read More »
SMS ya kumwomba mpenzi wako akuthamini kwa sababu unampenda sana
Naomba niwe CHOZI ndani ya JICHO lako,Nikitoka tu NIDONDOKE kwenye SHAVU lako,Ukinipangusa NIGANDE kwenye KIGANJA chako,Kwa sababu NAKUPENDA sana Read and Write Comments
SMS ya kimahaba kwa mpenzi wako anayekujali
Kumjali mtu ni rahisi, lakini kumfanya mtu akujali nivigumu, nashangaa umewezaje kunifanya nikujali? Read and Write Comments
SMS ya kumtumia mpenzi wako wakati wa usiku
Uamkapo nitakupa langu tabasamu
Ukweli wa moyo utawale roho yako
Kwani macho yako ndo uzuri kwangu
Nakupenda sasa na milele kipenzi change
Ujumbe wa kimahaba kwa mpenzi kumwambia kuwa yeye ni mmoja tuu katika maisha yako
Kuna miezi 12 katika mwaka…siku 30 katika mwezi…siku 7katika wiki, masaa 24 katika siku…dakika 60 katika saa……lakini wewe ni mmoja tu maishani mwangu. Read and Write Comments
SMS ya kumwambia mpenzi wako unampenda na hauna mpango wa kumuacha
Hata kama nitajidanganya kwamba sikupendi, moyo wanguumeganda kwako na hakuna dalili za kukuacha, wewe ni wangupeke yako dear… Read and Write Comments
SMS ya kumwambia mpenzi wako kuwa penzi lako kwake ni la kipekee
Anayekupenda ni mimi,watakaokutamani ni wengi,tafuta dunianzima penzi langu la kweli huwezi kulipata,penzi langukwako ni nuru daima halizimiki. Read and Write Comments
SMS ya mchana mwema kumwambia mpenzi wako aendelee kufurahia mapenzi yako
Mpenzi kila tunapokuwa chumbani huwa napenda kuwa mbunifu,
huwa najitahidi kuepuka udhaifu, ili
mapenzi yangu yasikukifu, ENDELEA KUFURAHIA MAPENZI YANGU.
Mchana mwema








I’m so happy you’re here! 🥳














































































Recent Comments