Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba
Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.
Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.
Mama: Nani kakuambia?
Stori za simu za wavulana na wasichana
STORY ZA WASICHANA KTK SIMMary… Hallow mpenziiLily…. Niambie my dearMary..Pouwaa za siku jamaniLily…Nzuri rafiki Yangu wa damuMary…Jioni nakuja kwako tule Nakunywa japo wine wanguuLily…Nakusubiri kwa hamuumpenziiiiBAADA YA KUKATA SIMU…KILAMMOJA ANAWAZALily…Huyu mchawi wa kike Leoanataka kuja kwangu wala hanikuti.Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyukahaba eti nakusubir Kwa hamuunani aende!!!STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMUJohn…Niaje we mbwaaSam…Pouwa kichaa wanguuJohn..Upo wap mpumbavu …
Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta
MUME: Fungua mlango! MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako. MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa. MKE. Kufa huna faida yoyote duniani! MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii! MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje. MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje. MUME: Piga …
Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta Read More »
Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini
Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?
Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake
Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg kumtaarifu kuwa atachelewa ile anatakubofya SEND kibaka akaipitia simu. Jamaa kaishia kupga kelele “bonyeza send, bonyeza send wewe” abiria wote hawana mbavu Read and Write Comments
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae
akamwambia kwa ukali
“Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo
zako na……..
Wazo la jioni hii
📢WAZO LA JIONI HII 📢 KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU PIGA MSAMBA😝 Read and Write Comments
Cheki kilichompata huyu dada!!
NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbele, +++ KIBABU kikasimama na kwenda Mbele, Bi harusi akaanguka na akazimia ghafla!😭😭😭 Mchungaji- Tuambie Babu Pingamizi Lako! Babu-Nimeamua kuja mbele,kule nyuma sisikii vizuri! watu hoiiii!! hata mimi hoi…😃😃😃😃😃😃😃 Read and Write Comments
Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa
Mtoto: Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo najinyonga. Baba: Huku nyumbani hali ni mbaya kuliko huko shuleni kwahiyo kama unajinyonga utapunguza Bajeti, kopa Kamba dukani kwa Mangi nitalipa nikija kuchukua Maiti yako, Mungu akulaze mahali pema peponi Mwanangu….. Read and Write Comments
Unakumbuka hizi enzi za utoto?
Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika 1. UGALI NA KUNDEMwitaji : 🗣JoniiiiiMwitikiaji : EeehMwitaji : Uje ukule 2. UGALI NA SAMAKIMwitaji: 🗣 we JoniiiiMwitikiaji : EeehMwitaji : Unaitwa na Mama 3. WALI NA NYAMA/KUKUMwitaji: 🗣 JoniiiiMwitikiaji : EeehMwitaji : Shauri yako!😂😂😂😂😂😂 Read and …
Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali
Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali: (a)Nyani haoni…..valisa miwani! (B)Debe tupu….weka dengu! (c)Masikini akipata….iko acha iba! (d)Penye kuku wengi…chinja bili,tatu! (e)Asiyesikia la mkuuu….peleka yeye polisi! (f)Penye wengi……iko kutano ya chadema! Read and Write Comments
Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu
HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE….. 😂😂 Read and Write Comments
Cheka na methali
1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu3.Zimwi likujualo= Lilikuona Sehemu.4.Chelewa Chelewa= Ukizikusanya utapata Ufagio.5.Hakuna Masika= Wakati wa Kiangazi.6.Mpanda Ngazi= Asiwe Mwoga kuanguka7.Dua la kuku=Bismilah rahman rahim11.Penye wengi= Pana Ajali au Tukio12.Ukiona vyaelea= Ujue ni vyepesi.13.Mwenye nguvu= amekula ugal wa dona(…..) Read and Write Comments
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake
Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupambal,aliporudi nyumban alimkuta pakaamekwisharudi,jamaa alikasirika sana. Siku ya 2akamchukua na kwenda naye zaid ya kilometa 50akapiga chochoro za kutosha kishaakamtupa,akaanza safar ya kurud nyumbanbaada ya muda akampigia cm mkewe.Vp mkewangu huyo paka yupo? MKE:Ndio mume wangutena ametulia hapa kwan imekuaje? JAMAA:hebumpe cm anielekeze njia ya kurud nimepotea😳 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Read …
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake Read More »
Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi
Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa. 😃😄😆😆😆 Ni Utani tuuuuu! Read and Write Comments
Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke
Hiki ndiyo kifo. KIFO NI NINI.. Kifo ni pale girlfriend wako anapofanya fujo Club akiwatukana MABAUSA Huku akisema “BABY WANGU HATA HAWAOGOPI” 😀😀😀😀 Read and Write Comments
Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE
MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akaletewa bili kama ifuatavyo:
Manka 35,000
Marieta 20,000
Kekuu 30,000
Kitime 15,000
Cha kufanya mpenzi wako akikuacha
Kumkomoa… MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE MWANAO AMEKUFA UWEZI…. KULIA PEKE YAKO🤒 Read and Write Comments
Angalia huyu demu alivyo mbulula
Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhudumu akaja,
Mhudumu: kaka nikuhudumie nini,
Jamaa: afathal NILETEE MENU LISTI
Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:
SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwako…
Boss akabaki anashangaa… Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
I’m so happy you’re here! 🥳














































































Recent Comments