Wanandoa wa Kijapani wakibishana
*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani**Husband: Takamushi jiku.**Wife :hashi jiku mishihe**Husband: inamoto kushini hat a pi**Wife: jejeta takuna mota shinita**Husband: kituya sitina kutara*.*Wife: totori yatika miniya*_Uko busy kusoma utadhani unaelewa kijapan kuwaga serious saa zingine_๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments
Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga
Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga. Binti wa Kizungu:ย Baby you look nice and fresh.ย Binti wa Kibongo:ย Naona safari imeiva, Mwanaume hupumziki kama nesi wa zamuย ๐๐๐๐ Read and Write Comments
Unakumbuka haya enzi za shule?
Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na hayaโฆ 1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia “Ahaa eeh utaona sa …
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa.
MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani
Upo kwenye chumba cha mtihani,maswalii yamekupiga kinyamaUnaamua kuchukua smartphone ugoogle kisha ucopy na kupaste kwenye booklet yako, Ghagfla lecturer aningia na wewe kwa woga wako unaficha calculator na kuweka simu mezani,Hapo ndo utajua shetani naye alikua anasimamia paper.๐๐๐๐๐ Read and Write Comments
Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni
Fanya hivi Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie “NAOMBA CM YAKO NIWASHE TOCHI TAA IMEUNGUA”atakusaidia kumulika mpaka unamaliza kazi zako zoote๐ Read and Write Comments
Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!
Angalia hivi -Mlinzi wa Getini lazima awe chizi-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wavekichwani.-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazimaitakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzajiMagari.-Lazima waende Kununua nguo.-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochiama kitandani.-Actress huwa hawapiki hata chai.-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazimaavae nguo …
Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!! Read More »
Jambo usilolijua kuhusu mwili wako
JE WAJUA!โฆ.. Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganisha kope za macho na sehemu ya kutolea haja kubwa ndo mana kila ukijaribu kubana jicho moja sehemu ya haja kubwa hufunguka bila kutarajia? . . . . .. . . . . . . . . Nakuona unavojaribu kubana jicho โฆ.. UTAKUJA KUNYA BUREEEE, …
Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa
Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulizeโฆ Kaka, mbona u mnyonge hivyo?” Jamaa : ‘aaaaah we niache tu, kuna rafiki yangu nimemkopesha laki tano akafanye PLASTIC SURGERY ya uso, Mwanaharamu sasa nashindwa kumtambua!!! ๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments
Kizungu nacho ni sheeeedeer
Mtalii: Do you have vegetables here.Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.Mtafsiri: No sir, they don’t have.Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.Mtafsiri: They don’t cook hereMtalii: What type of snacks do you have here.Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,Waiter: We …
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa
Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondokaโฆ
Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka.
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake
Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:
MUME – mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.
ย
Utani wa wahindi, cheka kidogo
Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili (1) Mfa maji ?โฆโฆโฆโฆโฆโฆ.. Tampa life jacket.(2) Mwenda pole?โฆโฆโฆโฆ Tachelewa fika.(3) Usipoziba ufa ?โฆโฆโฆ.. Mizi taona mpaka dani.(4) Usilolijua ?โฆโฆโฆโฆโฆโฆ Uliza google.(5) Mbio za utelezini ?โฆโฆ. Chafua guo yako.(6) Ukipenda boga ?โฆโฆโฆ Ngoja mezi ya ramzani tapata.(7) Ukiona vinaelea ?โฆโฆ.. iko nyepesi hiyo.(8) Maji yakimwagika ?โฆโฆ Mambie dada tapiga deki.(9) …
Hii ndiyo maana ya matatizo
SWALI: Nini maana ya matatizo..? JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi then akakuruhusu uondoke, lakini ukarukia pikipiki yako halafu ukapayuka..!!!!!ย Mwanajeshi, wee boya Tu Mara ghafla chombo kikagoma kuwaka.! ๐๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments
Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere
Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesaโฆ Trust me Kuna wanawake wangekuwa wanaishi misituni mda huuโฆ.. Wanavyopenda hela ๐๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments
Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia
โฆโฆโฆ Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena kuomba msamahaโฆ Ndugu yanguโฆ.. Msameheโฆ. Mpe ahadi ya ndoa, mwambie utamuoaโฆ. iambie familia yake unataka kufanya ukarabati wa nyumba yaoโฆโฆ Ondoa paa lote la nyumba yao halafu TOWEKAโฆ.. ๐โฆโฆโฆ ๐โฆโฆ.. ๐ Read and Write Comments
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani
Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.Chizi wa kwanza akasema:ndege ile itakua imembeba raisi. Chizi mwenzie akajibu:hapana imebeba wazungu kama ingembeba raisi tungeona pikipiki zimetangulia mbeleโฆda!balaaa Read and Write Comments
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine
Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na nyumbani kwake, akaulizwa unapakumbuka? akajibu ndio nyumba yangu ileee, mara wakatoka watoto wawili wamevaa uniform akasema
Angalia Kiingereza kilivyoniponza
Shikamoo kingereza..! Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa: Sauteed white corn, rare lucy beans, garnished with rift potatoes & topped with organic unprocessed guacamole! Price: TSH 44,000/= Nikaagiza! Nilipoletewa ndio nagundua kwamba:ย ni makande na parachichiย ..๐ค hapo ndo unagundua mwalimu wa kiingereza alikuwa sio mtu wa mchezo mchezo๐ค๐จ Read and Write Comments
I’m so happy you’re here! ๐ฅณ














































































Recent Comments