
Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.
Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hiviโฆ njoo ndani uone mwenyewe.

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo
Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sauti ya chini sana watu wengine wasiskie,akawa hanijibu kitu,mala gafra akapayuka kwanguvu na kwa sauti ya juu iliyomshtua kila mtu.โโ”Nimesema stakii,stakii tena unikome”โ๐ณ๐ณโNami nikamjibu kwa sauti ya juu vile vileโโ”Kama umejamba nisikwambie bhanaa,kwani ww nani?”โโน๐๐๐๐๐๐๐๐๐โโMIMI SIO MTU WA MCHEZO MCHEZOโSipendag ujuinga …

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema
House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.Mzungu aliporejea,kazin akamuuliza ‘what happened to my plate?House girl akajbu: ‘The dog wow wow friji paaa, mchuzi mwaaaa the vyombo pangalapangala the sahan ngelengenjeeโฆโฆthe pasuka paaaaaaaa๐๐๐๐hadi saiz mzungu bado anasoma dictionary hajui lugha gani imetumika Read and Write Comments

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa
Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefuta namba ya bosi wangu. Halafu boss mwenyew wa kike. Mida ya Saa mbili usiku nikawa chumbani kwangu. Mara simu รฝรครฑgรน ikawa inaita. Kucheki namba ngeni. Nikapokea baada ya salamu. Meโnani mwenzangu?? Bossโwe hunijui me ?? Meโusinijbu swali kwa …
Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa Read More »

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu
Kuna mtu kanikeraย et nmemkubalia urafiki Leo tuย Facebook anataka kujua kabila languBac akajifanya mjanjaa etย akaniuliza mbu kwenu mnawaitajeMimi nkamjibu hatuwaiti wanakujagaย wenyewe๐๐๐๐๐๐๐Si kwamba cjamuelewa ila sipendagi Ujinga Mimi Read and Write Comments

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi
Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwanguakaanza kutafuta kitu kila kona ikabidna mie niamke namuuliza unatafuta nini ananijibu hela ndipo nilipoanza na mie kutafuta naemaana hta hela ya kula Jana sikuanayo alichoka zaid nilipomuliza una uhakika uliweka humu? *sipendagi ujinga Read and Write Comments

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya
Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali +++ Wavutaji bangi wamepanda basi la gorofa wengine juu wengine chiniโฆ. Waliopanda chini wanawauliza wa juu huko speed ni ngapi maana huku ni 80. Wajuu wakajibu huku mpaka sasa hatujui dereva bado hajajaโฆ. ๐๐๐ Read and Write Comments

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?
JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza ‘morning’ na hupiga stor zote kwa kiswahil mwishon humalizia tena kwa kiingereza ‘ g9t Read and Write Comments

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo
Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.Mwalimu akauliza tena, โNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo โNakupenda Mpenziโ? Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:Wengine wakisema Asubuhi ya leo,Wengine jana,Wengine wiki iliyopitaWengine mwezi uliopitaNa wengine wakasema …
Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo Read More »

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama
USIJIONE MJUAJI SAAAAโฆNA.Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufikanyumbani. kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamuakurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,akawaambia “hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumiasheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani”mama”hee embu tuoneshe mwanangu”jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu “ngapi?”wazazi”moja” akainua …
Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama Read More »

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi
Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadiโฆ
Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.
ย

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae. MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani? JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo. MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani? ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga. MWAL: Safi sana Rose. …
Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi? Read More »

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada
Kama ni ubahili hapa umezidi mdadaย Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu hospital kang’atwa na nyoka JAmaaย embu mpe huyo nyoka cm niongee nae.. maisha yanakaba..๐๐ Read and Write Comments

Tabia za wachepukaji
WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI 1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.2.Inbox na sending items hufutwa kilawakati.3.Ukimuomba simu yake ghafla lazimaakwambie hebukwanzaโฆโฆ.4. Kamwe haiiti always vaibration.5. Namba nyingi ha save.6. Kuna simu hapokei hataiwejeโฆ.anapenda sms zaidi7.Majina mengi kwenye simu yameseviwakwa majina yakufikirika.8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.9.Anapenda password na anabadili marakwa mara.10.Akiazima simu yako, akitumia tuanafuta dial …

Eti wanadamu walikuja vipi duniani
Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipiduniani?BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watotowakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhikaakamfuta mamake)MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipiduniani?MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana namanyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudikwa baba)MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwamanyani mwanzo?Au wanidanganya?BABA: …

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama
Leo nimeiogopa pombe. Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muziki kwa sauti ya jenereta langu, akidhani yuko clubโฆ..nkamsikia anasema “wee dj noomaaaa” Baada ya kuzima jenereta akaniuliza uo mziki kaimba nan? Nlivyokuwa na roho mbaya Nikamwambia iyo ni collabo ya Yamaha na Petrol๐๐๐๐๐ Read and Write Comments

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?
Google alisema : mimi nina kila kitu Facebook ikasema : mimi najua watu wote Whatsapp akasema : mimi napendwa zaidi kuliko nyinyi Internet akasema : hahahaha nyinyi nyote bila mimi si kitu ! umeme ukatamka : mutabadilisha topic au niwaonyeshe๐๐๐๐๐ Read and Write Comments

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo
Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje, Jana nlimtuma sukari akala yote..ย Sahii nmemtuma superglue haongeiย Sipendi ujinga mimiย ๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก๐ก Read and Write Comments

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?
MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????BABA: Mbeya MTOTO: Mama nae kazaliwa wapi????BABA: TangaMTOTO: Mimi jee?????BABA: DarMTOTO: Sasa tulikutanaje????๐๐ hapo wee kama baba ungemjibuje mwanao๐ณ๐ณ๐ณ Read and Write Comments

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake
Msanii mmoja anaitwa ”KINYA” alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:-
”YEAH NI TEMBA hapa au
Recent Comments