CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria kusachiwa na majambaz hao na kukutwa hawana pesa, majambaz wakasema kila m2 atapigwa viboko (bakora) kutokana na namba ya shati alilovaa
Aliyekua hana namba atasalimika
Kaz ikaanza, jamaa alievaa jez ya ROONEY wa Man U akapigwa fimbo 10, mwengine alievaa nguo ya 50cent akapigwa 50, n.k, sasa kwa pemben kulikua na jamaa analia sn yaani kila akijiangalia, kumbe alikua amevaa fulana limeandikwa LOWASA 2015 duuuh! Unajua kilichotokea ngoja niweke cm chaji kwanza.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄
🤣 Ninashiriki hii sasa hivi!
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏
Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂
Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂