CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria kusachiwa na majambaz hao na kukutwa hawana pesa, majambaz wakasema kila m2 atapigwa viboko (bakora) kutokana na namba ya shati alilovaa
Aliyekua hana namba atasalimika
Kaz ikaanza, jamaa alievaa jez ya ROONEY wa Man U akapigwa fimbo 10, mwengine alievaa nguo ya 50cent akapigwa 50, n.k, sasa kwa pemben kulikua na jamaa analia sn yaani kila akijiangalia, kumbe alikua amevaa fulana limeandikwa LOWASA 2015 duuuh! Unajua kilichotokea ngoja niweke cm chaji kwanza.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Kichekesho cha mke wa mvuvi
Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya
Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo
Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!
Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu
Tabia za Kimama kwa wanaume
Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu