
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake
DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke NaAkaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita BeibโฆBABA: Kwa Hasira Ebu Wacha Kuongea Na Chakula Mdomoni Wewe Mpumbavu Sana Khaa!!!MAMA: Eti Nini Hebu Endelea Mwanangu AlafuWakafanya Nini Hawa Nguruweโฆ DOGO: Wakanza Kufanya Kama Vile Mlifanya Na Anko nassoro Wakati Baba Alikua Safari ZakikaziโฆMAMA: Kwa Hasira Babako Amesema UwacheKuongea Na Chakula …

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani
Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEKUAJE?

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo
Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.Wakati niponatafakari hiyo bei, nikasikia “Moro, Moro,Morogoro sh.6,000/=” Nikaamua nipande niende zangu MOROGORO.Kwenda na kurudi sh.12,000/=.Wakati wa kurudi nikamwmbia KONDA aniteremshe KIMARA. SIPENDAGI UJINGA MIMI NA BEI ZA TEKSI. Read and Write Comments

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida
Pale unapokuwa umefulia sanaโฆ Mgeni anakutembelea Maskani kwakoโฆ.Unaamua Kuchukua Ile Sh 600 iliyobaki na kwenda Dukani Kumnunulia Soda Unaondoka na Chupa Mbili Unanunua Fanta Moja kwaajil ya Mgeni na Ile Chupa ya Sprite Unaijaza Maji ili Ukirudi Uweze kumpa Kampani MgeniโฆโฆUnafika Seblen Unampa Ile soda ya Fanta Mgeni anakuambia Fanta huwa situmii Nipe hiyo sprite …

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake
Msanii mmoja anaitwa ”KINYA” alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima ajitambulishe, mfano:-
”YEAH NI TEMBA hapa au

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala
Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufuya kwenye daladala. 1.Yatima hadeki2.Utamu wa chips mimba3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni4. Usiyempenda kaja5. Kobe hapimwi joto6. Acha kazi uone kaz kupata kaz7. Ukichezea koki utalowa8. Heshima pesa kipara kovu tu!9. Mtumbwi hauna saitmira.9. Silaha pesa bastola mzigo10. Hata uoge …

Cheki huyu mtoto anachosema
sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza inaitwaje likaniambia GRANDMOTHER CRY ๐ ๐ ๐ sijui nikabadilishane na kijiko cha chumvi๐ค๐ค๐ค Read and Write Comments

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya
Phone call
gal: hellow
Boy: sweety mambo vipi?
Girl: poa
Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka uje nyumbani
Girl: oh sorry ctoweza kuja sababu kuna haruc ya aunt yangu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu
Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu’nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana, nikaona bora niende nikamkumbatie !! kutokana na kukaa cku nyingi sijamuona!Dah! Alichonifanyia nung nung sitokisahau !!! Read and Write Comments

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa
Mchungaji Kauliza:ย Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje mbele. Mara kasimama kibabu na kwenda mbele, bibi harusi alipomuona tu yule babu akazimia. Mchungaji akauliza:ย tueleze pingamizi lako Kibabu kikajibu:ย Nimeamua kuja mbele kwasababu kule nyuma sisikii!!!. kanisa zima hoi, Read and Write Comments

Duh, huyu mama alichokifanya
Mke:ย Naelekea london, nikuletee zawadi gani? Mume:ย kitu gani unaweza niletea wewe? Mke:ย we omba Alafu utaona. Mume:ย Niletee msichana wa kizungu. Mke:ย (mke akaendaLondon na kurudi) Mume:ย zawadi yangu iko wapi? Mke: Subiri ndani ya miezi 9!!!! ๐๐๐๐๐๐๐๐Pia Wamama hawapendi ujinga Read and Write Comments

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa
Wazazi wengine wanaandikaย MBWAโMKALIย kwenye geti lao kama binti wao ana miaka 18.. Binti akifika miaka 30 na hajaolewa wanapabadilisha na kuandikaย TUNAUZA BARAFU ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii
Ni noma! Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- “Nasikitika kukujulisha kuwa binti uliyemlea kwa miaka 20 sio mtoto wako” Mume akamjibu:- “Duh! Nashukuru Mungu kwani nilikuwa nikiumia rohoni kila siku kwamba nazini na binti yangu” ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments

SMS Mafua ndiyo hii
JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?Cheki hii hapaโฆโฆ.. “Mabo dugu yagu mziba? Bwada nasubuliwa sada na bafua baka dashindwa kuadika beseji do hayo dugu yagu.Diobeeni dipone๐๐๐๐๐๐๐๐Hapana ChezeaBafua Read and Write Comments

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!
Angalia hivi -Mlinzi wa Getini lazima awe chizi-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wavekichwani.-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazimaitakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzajiMagari.-Lazima waende Kununua nguo.-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochiama kitandani.-Actress huwa hawapiki hata chai.-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazimaavae nguo …
Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!! Read More »

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake
Mtoto:ย baba eti Botwasna ipo wap? Baba:ย angalia itakuwa humo humo kabatini maana mama yako nae kwa kuficha kuficha vitu hajamboโฆ Read and Write Comments

Nimeitoa sehemu
Ifโฆ99 is: Ninety nine,88 is: Eighty eight,77 is: Seventy seven,66 is: Sixty six,55 is: Fifty five,44 is: Forty four,33 is: Thirty three,22 is: Twenty two,Why 11 not Onety one? Wazungu msitufanye Vilazaโฆ.!! ๐ ๐ ๐ ๐๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Mungu anawaona Read and Write Comments

Muda ambao unaweza kumzoea dingi
Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONEโฆ. Wanakuwaga wapole sana aisee unaweza hata kumuagiza maji ya kunywa akakuleteaโฆ. ๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa.
MKE; Ilikuaje wewe ukapona?

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema
Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine akaanza kucheka, watu wakamuuliza “kwanini unacheka unafurahia mwenzako kufariki?” Daktari yule akajibu “hapana mimi ni Daktari wa kutahiri nafikilia nikifa mtanichongea jeneza lenye umbo la โฆ.” Read and Write Comments
Recent Comments