Ka ni wewe?
DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao.
BABA: Kwanini unasema hivyo?
DOGO: juzi walisema 3+4= 7, jana wakasema 1+6=7, halafu leo wanasema 5+2=7 sasa huoni kama wanatuchanganya.
ungekua wewe ungemjibu nini
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo
Utani wa wachaga
Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi
Sitasahau mwaka huu
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!
Wadada lenu hili. Mimi sipo
Dunia ina mambo, soma hii