
Cheka na methali
1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu3.Zimwi likujualo= Lilikuona Sehemu.4.Chelewa Chelewa= Ukizikusanya utapata Ufagio.5.Hakuna Masika= Wakati wa Kiangazi.6.Mpanda Ngazi= Asiwe Mwoga kuanguka7.Dua la kuku=Bismilah rahman rahim11.Penye wengi= Pana Ajali au Tukio12.Ukiona vyaelea= Ujue ni vyepesi.13.Mwenye nguvu= amekula ugal wa dona(โฆ..) Read and Write Comments

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi
Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai. Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo? Mtoto: Nina akiliโฆ Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni hayaโฆ. Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi? Dogo: Yatabaki 19. Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka …

Ndege ya Tanzania
Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita tangazo kama ifuatavyo: Ndugu wasafiri wote, ndege unayotarajia kusafiri nayo imetengenezwa na wanafunzi wa Kitanzania.Baada ya tangazo maprofesa wote waliteremka isipokuwa mmoja alibaki kwenye kiti chakeWalipomuuliza ni kwanini hakuondoka akajibu kwa haraka na furaha kuwa:Kama ndege hii imetengenezwa na watanzania, hata kuwaka …

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya
Et Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kixha ukaviweka mlangon ili majiran wakipita wajue una demu ndaniโฆ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ KUA SINGLE NAO NI UGONJWA EEENH.๐ Read and Write Comments

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu
Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja …
Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu Read More »

Biashara ambayo imefeli
*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe*STUDENT*: Changudoa akipata mimbaโฆ*TEACHER*: _get Out!!!!!!!!!!!!!!_๐๐ Read and Write Comments

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?
1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha 2:Baba yako kauza ng’ombe ili alete ng’ombe mwingine shule 3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe 4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako 5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale 6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu 7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote 8:Tunavisaidia tu …
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa? Read More »

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala
Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochatiโฆ Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyuโฆ. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:ย “Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomu๐ฃ lilipukeโฆ …
Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala Read More »

Raha ya kuoa kijijini
Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi daaaah wanaona wewe ni bonge la boss๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments

Cheki kilichompata huyu dada!!
NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbele, +++ KIBABU kikasimama na kwenda Mbele, Bi harusi akaanguka na akazimia ghafla!๐ญ๐ญ๐ญ Mchungaji- Tuambie Babu Pingamizi Lako! Babu-Nimeamua kuja mbele,kule nyuma sisikii vizuri! watu hoiiii!! hata mimi hoiโฆ๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao
๐๐๐๐๐*UCHAWI* ni nini? `Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba …
Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao Read More »

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani
Upo kwenye chumba cha mtihani,maswalii yamekupiga kinyamaUnaamua kuchukua smartphone ugoogle kisha ucopy na kupaste kwenye booklet yako, Ghagfla lecturer aningia na wewe kwa woga wako unaficha calculator na kuweka simu mezani,Hapo ndo utajua shetani naye alikua anasimamia paper.๐๐๐๐๐ Read and Write Comments

Huyu mwanafunzi kweli kiboko
Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema.. John kusikia hivyo….Karusha begi la daftari nje…..`ย `Ticha akauliza: Nani karusha begi nje!?!`* `John: Mimi….. Kwa herii Mwalimu……` ๐๐,๐๐ Read and Write Comments

Ni wazo tuu!
Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia watoto wao waliozaa na mkeo.duh!! tutafika kwel ๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi
JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa? FANYA HAYA; 1. Kopa mkopo mkubwa benki 2. Nunua gari bovu la biashara 3.Oana na mke mwenye kelele. Ukiona miezi mitatu hakijaisha basi ujue umevimba BANDAMA sio kitambi.. Read and Write Comments

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida
๐ง: “Mpenzi, nakuomba uache kulewa” ๐จ: “poa, na wewe acha kutumia make up” ๐ง: “Mimi napaka make up ili unione mzuri” ๐จ: “Na mimi nalewa ili nikuone mzuri” Vodka hatareee๐๐ Read and Write Comments

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?
RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha
Kumkomoaโฆ MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE MWANAO AMEKUFA UWEZIโฆ. KULIA PEKE YAKO๐ค Read and Write Comments
Recent Comments