Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema “asiyempenda YESU atoke nje” wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.
Jambazi likamwambia Mchungaji “unaweza kuendelea na ibada, nilikuwa nakuondolea wanafiki”, Mchungaji akasema “ungewaacha kwanza nichukue sadaka…!
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
🤣😆😊😂
😂 Siwezi kuacha kucheka!
😆 Nacheka hadi chini sasa hivi!
😂😅
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😊😅