
Sababu ya girlfriend 👧 kuniblock
Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua inanyesha …Nimemjibu kwani nimekutumia text ina matope?sipendangi ujinga mimi Read and Write Comments

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???
GARLFREND»»hellow sweetheart BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED) GARLFREND»»kwanin hutaki kujibu sms yangu,au huna mda»?? BOYFREND»>najitahid kukujibu lakin mtandao unasumbua,imefika??(SENDING FAILED) GARLFREND»»kama hunipend bhas usinijbu,kama unanipenda kwel bhas nijibu BOYFREND»»i love you (SENDING FAILED)GALFREND»»do you lov me???? BOYFREND»»i lov you baby(SENDING FAILED) GARLFREND»»usiongee na mimi tenaaaaa BOYFREND»»i love you sweetieeee(SENDING FAILED) GARLFREND»»unataka mim na wew tuachaneee???? BOYFREND»»nshachoka mie …
Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili??? Read More »

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti
Dogo kampigia simu baba yake;DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipanikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubetiBABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzimkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?DOGO : Lakini babaBABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaonantakachofanya.DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshindashilingi milioni 3BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavusana kwanini hukutumia laki …
Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti Read More »

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga
Ndoto zingine bwana usiombe zikupate Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari Yangu aina ya BMW mpya Mara gafla ikakwama kwenye tope .hivyo ikabidi nishuke ili kuisukuma loh! Yani kudadeki ile kuamka nikakuta nimesukuma kitanda hadi sebleni Daaa ilinisikitisha sana jiangalie sana sese hivi ndio narudisha kitanda chumbani .angalizo angalia ndoto unazo …

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine
Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na nyumbani kwake, akaulizwa unapakumbuka? akajibu ndio nyumba yangu ileee, mara wakatoka watoto wawili wamevaa uniform akasema

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana ..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂 Read and Write Comments

Duh! Wanaume jamani…
Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang’ng’ana kujipodoa uso na sisi tunaangalia matako. 😆😆😆mungu anatuona jaman😆😆😆😆😆😆Makeup ya matako iletwe Read and Write Comments

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe
Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala jamaa: hellow hellow ( jamaa akawa hasikii vizuri ikabidi aweke loud speaker) Mke: Umeweka wapi soksi zako yaani nyumba nzima inanuka. Read and Write Comments

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?
Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Read and Write Comments

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa
Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:1. Mrembo wa darasa.2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi. 6. Mlafi. Huyu …

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari
tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka kupanda Konda- bibi twende sit kibao ata utalala Bibi – oooh sawa mjukuu Konda – simama tu apo wanashuka mbele Bibi – akacheka sana tu Konda- mbona unacheka bibi Bibi – mjukuu hawa wote hawashuki wanakufa apo mbele Watu- simamisha gar …

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?
Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri Hakuna mwanamke yupo tayar kulalia kifua cha maskini ambacho moyo unadundaDeni,, Deni,Deni, Deni .🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🚶🏽♂ Read and Write Comments

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema
House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.Mzungu aliporejea,kazin akamuuliza ‘what happened to my plate?House girl akajbu: ‘The dog wow wow friji paaa, mchuzi mwaaaa the vyombo pangalapangala the sahan ngelengenjee……the pasuka paaaaaaaa😂😂😂😂hadi saiz mzungu bado anasoma dictionary hajui lugha gani imetumika Read and Write Comments

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?
Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelele “mamaa” mama yake akaamka na kumwambia nin mwnangu mtoto akajibu “mama nimeota ndoto mbaya sana” ndoto gani hyo mwanangu mtoto akajibu “nimeota tumefungua shule” 😂😂😂😂😂 🌚🌚Kibaooooo nyau wewe Read and Write Comments

Cheka na methali
1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu3.Zimwi likujualo= Lilikuona Sehemu.4.Chelewa Chelewa= Ukizikusanya utapata Ufagio.5.Hakuna Masika= Wakati wa Kiangazi.6.Mpanda Ngazi= Asiwe Mwoga kuanguka7.Dua la kuku=Bismilah rahman rahim11.Penye wengi= Pana Ajali au Tukio12.Ukiona vyaelea= Ujue ni vyepesi.13.Mwenye nguvu= amekula ugal wa dona(…..) Read and Write Comments

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga
Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga. Binti wa Kizungu: Baby you look nice and fresh. Binti wa Kibongo: Naona safari imeiva, Mwanaume hupumziki kama nesi wa zamu 😆😆😆😆 Read and Write Comments

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!
Sababu ni hii AL-SHABABAL-QAEDAKwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa “AL-GEBRA” 😂😂😂😂🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻Kumbe ndo maana wengine hawapendi hesabu coz kuna element za ugaidi Read and Write Comments

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo
😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUODemu ; Baby Safari Hii Nataka Pale Hostel Niwafunike Mashoga Zangu Wote.Jamaa ; Poa Sweetie Ondoa Shaka Nitakununulia #Turubai Utawafunika Wote…!!!Demu: Mxiuuuuuuuu Lione Sura Kama Goti La mbuzi Na Namba yangu futa Nakublock Mpaka Sanduku la posta…!!! 😂😂😂😂nmecheka adi nmelazwa Read and Write Comments

Angalia huyu msichana alichonifanyia
Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.Baada ya siku mbili nikapata pesa zaidi ya laki nne hivi, nikaamua kumpa 100,000/= mpenzi wangu bila yeye kuniomba.Baada ya siku 3 akaja kuniambia:- “Bae, ile 10,000/- niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai, so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 3.”SAA HIZI NIPO …

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha
Kumkomoa… MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE MWANAO AMEKUFA UWEZI…. KULIA PEKE YAKO🤒 Read and Write Comments
Recent Comments