Tabia za wachepukaji
WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.2.Inbox na sending items hufutwa kilawakati.3.Ukimuomba simu yake ghafla lazimaakwambie hebukwanzaโฆโฆ.4. Kamwe haiiti always vaibration.5. Namba nyingi ha save.6. Kuna simu hapokei hataiwejeโฆ.anapenda sms zaidi7.Majina mengi kwenye simu yameseviwakwa majina yakufikirika.8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.9.Anapenda password na anabadili marakwa mara.10.Akiazima simu yako, akitumia tuanafuta dial noharaka.11.Always …
Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani
Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani,
Huyu panya wa tatu ni noma
๐ ๐ ๐ย Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi Panya 1:ย jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!! Panya 2ย Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwakwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa RAT 3ย Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka …
Angalia hawa kina mama, ni shida..!
Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa anajiuliza anakwenda kufanya nini? Uzalendo ukamshinda akamuuliza “Mwenzangu, mbona kila siku mchungaji anakuja kwako, vipi anakuja kukuombea?” Akajibiwa “Nyoo, umbea tu! Mbona kwako kila siku anakuja mwanajeshi kuna vita! chefuuuu ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ๐ณ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments
Maisha ya kijijini hadi raha!!
Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe, Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000. Jamaa akasema lala nae tena sina chenji!๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments
Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi
Unafahamu? Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi saivi kupiga simu ni bure mjulishe na mwenzako ๐ฒ ๐ฒ Read and Write Comments
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass
Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swaumu 2000, Vitunguu maji 1000, hiliki 1000, Magome 1000, Michele wa 2000, Soda 3000, Nyama 5000 . Fedha hizi zitatumika kununua mfuko wa cement ili tuanze kujaza kibubu cha ujenzi wa nyumba badala ya kupanga. Karibuni saana maji ya kunywa tumechemsha ndoo nzima. …
Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga
Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna post Lakin mkiwa mmeenda kwa mganga siwaoni kupost mitunguli na vibuyu vya mganga unakuwa je wa zee tena. ๐๐๐๐ Read and Write Comments
Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala
Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochatiโฆ Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyuโฆ. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:ย “Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomu๐ฃ lilipukeโฆ …
Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala Read More »
Ukata wa January
Boss;-ย kwa nini umechelewa kaziniJuma;-ย kuna mtu njiani alidondosha elfu1Boss;-ย ohhoh kwa hiyo ulikuwaunamsaidia kuitafutaJuma;-ย hapana nilikuwa nimeikanyaga ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ Read and Write Comments
Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi
Hivi wadada mnaovaa mawigi. ๐๐ฝย Utajisikiaje siku Boyfriend wako anaingia chumbani halafu anatundika NDEVU kwenye henga๐คฃ Read and Write Comments
Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama
Leo nimeiogopa pombe. Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muziki kwa sauti ya jenereta langu, akidhani yuko clubโฆ..nkamsikia anasema “wee dj noomaaaa” Baada ya kuzima jenereta akaniuliza uo mziki kaimba nan? Nlivyokuwa na roho mbaya Nikamwambia iyo ni collabo ya Yamaha na Petrol๐๐๐๐๐ Read and Write Comments
Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake
Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wang hata mimi nilikuwa nataka nikuambie hivyo hivyo
ย
Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo
01.๐ Wale wanafunzi walioongozaMashuleni, wanaenda kwenyeEngineering na Medical school. 02.๐ Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wawanafunzi walioshika nafasi ya kwanza. 03.๐ Wale waliokuwa wa tatu, wanageukiaSiasa na kuwaongoza wote hapo juu.Yaani wa kwanza na wa pili. 04.๐ Wale waliofeli, wanaenda Jeshi, hawa wakigoma, basi hao wa juuwote hawana …
Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana
Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambai:
MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa “DADDY IS AT HOME?” by Ngozi Okafor
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute
Matatizo ni nini??? `Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakubana na hukuwa unajua choo kilipo, ukatoka nje na kujisaidia kwenye majani kumbe ni mboga asubuhi ukasikia mama mkwe anasema kuna mjinga kajisaidia kwenye mboga na kaangusha pochi yake hapohapo haa! Vile unajisachi pochi hamna na kulikuwa na passport,vitambulisho, kadi ya benki, …
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute Read More »
Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa
Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:1. Mrembo wa darasa.2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi. 6. Mlafi. Huyu …
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa.
MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao
Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisiende mikono mitupuโฆ Nikaamua kuvaa glovesโฆ Sipendagi aibu ndogo ndogo ukweni.๐๐๐ Read and Write Comments
Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya
Njeri:ย Roysambu ni ngapi?Makanga:ย Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine. Odhis:ย Hii gari haina watu bana.Makanga:ย Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ngโombe? Man:ย Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.Makanga:ย Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka. Mwikali:ย Excuse me condaโฆgari za Mwingi zinapandiwa wapi?Makanga:ย Ziliacha kupandwa juu hazimei. Man:ย Kwani mwisho wa gari ni wapi?Makanga:ย Mwisho ni hapo penye number plate …
I’m so happy you’re here! ๐ฅณ













































































Recent Comments