MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie mwachie MUNGU. MTOTO akajibu Mungu hazimtoshi zile yebo ni ndogo! Usicheke,
Huu ni Mtihani Tuwapeleke Watoto KANISANI Wamjue MUNGU.
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Misemo ya kina dada
SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???
Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani
Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao
Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu
Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula
Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa