Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊
Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅
😂🤣😆😅
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯