Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂
By: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala
Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya
Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake
Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!
Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?
Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi