Cheki huyu mtoto anachosema
sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza inaitwaje likaniambia GRANDMOTHER CRY😠😠😠 sijui nikabadilishane na kijiko cha chumvi🤔🤔🤔 Read and Write Comments
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa
MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni “nikusaidie nini?”
Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao
Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka nje kuongea na cm.
Mtoto akamwinamia Doctor na kusema kwa sauti ya chini:- “Doctor Kwenye dozi ya dawa niandikie na
SMS Mafua ndiyo hii
JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?Cheki hii hapa…….. “Mabo dugu yagu mziba? Bwada nasubuliwa sada na bafua baka dashindwa kuadika beseji do hayo dugu yagu.Diobeeni dipone😂😂😂😂😂😂😂😂Hapana ChezeaBafua Read and Write Comments
Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake
Hili nalo neneo. Ukimuona mbwa🐶 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilichomleta pale ndicho kilichokupeleka na wewe hapo Read and Write Comments
Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao
😂😂😂😂😂*UCHAWI* ni nini? `Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao kufika tyu ghafla unakutana na dada yake getini ambaye alikuwa ni mpenzi wako wa zamani, ile kuingia ndani unamuona kaka yake ambaye mlipigana baada ya kukufumania na mke wake, hujakaa vizuri unamuona mama yake ambaye ndiye jimama shangingi lako anayekuweka mjini akupaye jeuri ya kutamba …
Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao Read More »
Mapenzi Stress tupu
Stress Tupu Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia “Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ????” Unashtuka ??…. Una muuliza kulikoni? ???? Anakujibu: “Sorry Sio Sms yako?” Hapo Ndo utajua Kwanini Hakuna Mmasai Albino?????? Read and Write Comments
Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake
Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:
MUME – mke wangu natubu mbele yako kwamba nimezini na mama yako, dada yako, shangazi yako, mama yako mdogo na mtoto wa shangazi yako.
Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax
Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.
Masai: we dureva? Naulisa Ng’ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng’ombe ghali Masai.
Kizungu nacho ni sheeeedeer
Mtalii: Do you have vegetables here.Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.Mtafsiri: No sir, they don’t have.Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.Mtafsiri: They don’t cook hereMtalii: What type of snacks do you have here.Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,Waiter: We …
Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu
DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingiaMKAKA mtanashati,DADA akaamua kujaribu bahati yake.DADA:Mambo? KAKA:Poa.DADA:Mimi na wewe tunaweza kuongea baade?KAKA:Kuhusu nini?DADA:Nimekupenda nataka nikutoe out.KAKA:Sawa ila nitamwambia niniMKE wangu?DADA:Aah ilo sio tatizo mdanganye tu,mwambie unakwenda kumtembelea rafiki yako hospitalini.KAKA:Mwambie mwenyewe huyo hapo anayekusuka. Unajua nn kiliendelea? Read and Write Comments
Wasichana wafupi wanafurahisha
Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekundu huwa wanakuwa kama Fire extinguishers au mitungi ya Oryx 😁😁😁😁😀 Read and Write Comments
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine
Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na nyumbani kwake, akaulizwa unapakumbuka? akajibu ndio nyumba yangu ileee, mara wakatoka watoto wawili wamevaa uniform akasema
Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae
akamwambia kwa ukali
“Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo
zako na……..
Kichekesho cha mke wa mvuvi
CHEKA KIDOGO MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake hukuakiwa hajui kama mkewe malaya,Leo hii kamuaga mkewe baada ya kuondkamkewe akaanza kuingiza wanaume kamakawaidaHawara 1;nakupendaMke Wa Mvuvi;oke, Nipe Penz Haraka KablaMume wngu hajarudi.Hawara 1;oke!Basi picha likaanza wakati wanaendelea maramlango ukagongwa, akamwambia hawara mumewangu huyo jifiche darini jamaa akafanya,, mkewa mvuvi akaelekea …
Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku
MUME: Mke wangu naomba nikubusu
MKE: Sitaki
MUME: Ntakununulia pete ya gold
MKE: Staki
Gari na mke nini muhimu?
GARI YA MILIONI 50UNALAZA NJE…mke wa laki sitaunalala nae ndani….BANGI SI NZURI JAMAN😂😂😂😂😂😂😂😂 Read and Write Comments
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!
Sababu ni hii AL-SHABABAL-QAEDAKwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa “AL-GEBRA” 😂😂😂😂🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻🚶🏻Kumbe ndo maana wengine hawapendi hesabu coz kuna element za ugaidi Read and Write Comments
Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?
Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. “Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiwekajuu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanza…” Napenda kuwajulisha kwamba …
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi
Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwanguakaanza kutafuta kitu kila kona ikabidna mie niamke namuuliza unatafuta nini ananijibu hela ndipo nilipoanza na mie kutafuta naemaana hta hela ya kula Jana sikuanayo alichoka zaid nilipomuliza una uhakika uliweka humu? *sipendagi ujinga Read and Write Comments
I’m so happy you’re here! 🥳













































































Recent Comments