Balaa la mitoto isiyopenda shule
SINA MBAVU NA HIKI KISA;BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!Baada ya mwiz kuvamia nyumba moja usiku na kuiba vitu vngi wakati anajiandaa kuondoka ghafla akadakwa mguu na dogoDOGO: Usipoondoka na begi langu la shule NAPIGA KELELE….😂😂😂 Read and Write Comments
Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake
😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyumba ya pili toka kwake. Siku ya 1 kalala asubuhi alipoamka kachungulia kwake kukoje, Si kamuona jamaa yuko nje ya nyumba yake kavaa taulo lake anapiga mswaki. Akapiga kelele, ‘We nani?’, Jamaa akajibu, ‘Mshikaji mambo ya mjini, mume wa huyu demu kasafiri …
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake
Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupambal,aliporudi nyumban alimkuta pakaamekwisharudi,jamaa alikasirika sana. Siku ya 2akamchukua na kwenda naye zaid ya kilometa 50akapiga chochoro za kutosha kishaakamtupa,akaanza safar ya kurud nyumbanbaada ya muda akampigia cm mkewe.Vp mkewangu huyo paka yupo? MKE:Ndio mume wangutena ametulia hapa kwan imekuaje? JAMAA:hebumpe cm anielekeze njia ya kurud nimepotea😳 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Read …
Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake Read More »
Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo
STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…👉sick👉at movie 👉 in a meeting2👉 kind of happy,, 👉busy,,👉available👉Driving👉sleeping STATUS ZA WABONGO SASA MBUTA NANGA MBONGO NGAFU “Akutake nani una shepu la Kitorondo utaishia kumegwa na kuachwa “Watu tuna nyota za Chips Mayai sio wewe mwenye Nyota ya Punda,halulaaa” 👌Kantangazeee ndo Kwanza naanza na ntakukomesha Mwanaharamu we! 😍 …
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute
Matatizo ni nini??? `Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakubana na hukuwa unajua choo kilipo, ukatoka nje na kujisaidia kwenye majani kumbe ni mboga asubuhi ukasikia mama mkwe anasema kuna mjinga kajisaidia kwenye mboga na kaangusha pochi yake hapohapo haa! Vile unajisachi pochi hamna na kulikuwa na passport,vitambulisho, kadi ya benki, …
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute Read More »
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga
Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, analivaa dela bila nguo ya ndani mbele yako, unazidiwa anakupa kitu fresh unatoka unatabasamu.🤝🏽🙌🏽 Mwanamke wa kitanga:Unampa hela anapika vitu mtaa mzima unasikia harufu ya chakula, chenji inayo baki ananunua kinga ukirudi unakula afu unakula..👏🏼👏🏼🤝🏽🙌🏽 Mwanamke wa kihaya:Unampa hela ukirudi unakuta majirani wote wanataarifa …
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga Read More »
Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao
Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.
Utasikia,
“HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,
Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari
Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema “mpenz mtazamaji nataka nikupeleke moja kwa moja had marekani” nikazima TV kwa haraka nikaenda kuvaa viatu. Hadi sahv bado nmekaa hapa seblen nahisi bado wanaihangaikia Visa yangu 😂😂😂😂😂😂 Read and Write Comments
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala
Mzee mmoja alipanda Gari Stend;Wakati wa kugombania Siti,Akaibiwa Nauli. Akasimama katikati ya Gari-Akasema; “Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977″Abiria kuskia hivyo wakaogopa.Ikabidi Mwizi Ajitokeze,Akarudisha Pesa na Kuomba Msamaha! Mtu Mmoja akauliza,Mzee,Kwani 1977 Ulifanya nn?Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!Uscheke Peke Yako, wa2mie na wengine ili nao wacheke! …
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala Read More »
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?
JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza ‘morning’ na hupiga stor zote kwa kiswahil mwishon humalizia tena kwa kiingereza ‘ g9t Read and Write Comments
Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana
Mama mkwe alimuuliza mkwewe “binti” samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?
Binti akajibu, “bila samahani mama huku chini nina njia ya uzazi sio mashine ya photocopy”
Amri za chuo
Ndio hizi sasa 1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.2.Usilitaje bure jna la chuo chako mana utawaumiza wengine.3.Ikumbuke cku uliyochaguliwa na kuiheshimu.4.Waheshimu tcu, bodi ya mkopo na uongoz wa chuo ili upate kuendelea kuwepo chuon.5.Usisapu6.Usidisko7.Usitumie mkopo ovyo.8.Usitaman chuo cha mwenzio9.Usitamani fakat ya mwenzio10. Usitaman bumu lake wala chochote alichonacho. hahaha chezea chuo …
Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari
MDADA: Baby nikwambie kituMKAKA: Yeah Baby Uko huru nambieMDADA: nilikua naomba hela baby☺MKAKA: WW nae kwa kupenda hela jana tu nmekupa hela Leo unaomba ya nn 😖MDADA: hapana😌 Bby sio hivyo nlikua nataka nikashuhudie tetemeko la ardhi BUKOBA nasikia huko linaonekana vizur .😂😂😂😂😂😂😂😂Wanawake kumbukeni sio vizuri Read and Write Comments
Huyu mama mkwe kazidi sasa
Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini zipu ya suruali yake ilikuwa wazi. Mama akamuuliza, mkeo …
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya
Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ”ALIPEWA MIA TANO ZIPO MBILI,MIA TANO MOJA YA NYANYA na MIA TANO NYINGINE YA VITUNGUU sasa KAKOSEA KAZICHANGANYA HAJUI TENA IPI NI YA NYANYA na IPI NI YA VITUNGUU!!! .. NA PESA ZOTE ANAZO KAZISHIKA MKONONI, Read and Write Comments
Staili nyingine za michepuko ni shida
Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si akakuta mchepuko wake,MKE: Unataka nini we mpumbavu? MUME: Nani huyo unamtukana?MKE: Kuna mtu hapa anakichwa kama nenda urudi badaeMCHEPUKO:Nawewe pua kama poaMKE:Miguu kama masaa mawiliMCHEPUKO:Masikio kama sichelewiMKE: Ondoka hapa mjinga we. …… Akafunga mlangoMUME: mwambie ana macho kama sitoki leo …
Kichekesho cha mke wa mvuvi
CHEKA KIDOGO MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake hukuakiwa hajui kama mkewe malaya,Leo hii kamuaga mkewe baada ya kuondkamkewe akaanza kuingiza wanaume kamakawaidaHawara 1;nakupendaMke Wa Mvuvi;oke, Nipe Penz Haraka KablaMume wngu hajarudi.Hawara 1;oke!Basi picha likaanza wakati wanaendelea maramlango ukagongwa, akamwambia hawara mumewangu huyo jifiche darini jamaa akafanya,, mkewa mvuvi akaelekea …
Mchaga aliyemshangaza Mungu
Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu… Dakika mbili nyingi Mchaga akakimbia na kapu la sadaka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Read and Write Comments
MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA
1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;2. Huwezi kuhesabu Nywele zako; 3. Huwezi kupumua kwa Pua na huku umetoa Ulimi;4. Unajaribu kufanya namba 36. Umeona inawezekana, sanasana unakuwa Kama Jibwa;7. Unatabasamu kwa kuwa umejiona Mjinga!8. Umeruka namba 5;9. Unahakikisha Kama kweli 5 haipo.10. Unacheka kwa kuwa nimekubamba! Read and Write Comments
Kichekesho cha mtalii na mbongo
Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote! Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti akazunguka nayo kwenye mto Rufiji kuangalia mandhari, akamuuliza kijana anayeongoza boti, “Do you know Biology, Psychology and Anthropology?” Kijana akajibu “NO,” Mtalii akamwambia “nothing you know under the sun? You are useless, and u’ll die with your illiteracy!” baada ya muda …
I’m so happy you’re here! 🥳













































































Recent Comments