Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka ,nimetubu kanisani lakini nabii kaniambia niwaombe msamaha wote niliowakosea.

Nimemkosea sana mkeo kwa kumwibia mumewe na nimepanga kuja kumwomba msamaha kesho ntakuja na nabii na Mchumba wangu mpya nilie mpata kanisani.

Samahani kwa usumbufu uliojitokeza lakini hilo ni kwa ajili ya utukufu wa bwana!!!

Wako Manka wa Magorofani😅😅

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
Tambwe

😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!

Kahina

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Stephen Kikwete

Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆

Jane Muthui

😂👌😆😊

Charles Mrope

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😆😂

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop