Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?
Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana …
Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi? Read More »
Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana ..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂 Read and Write Comments
Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke
Hiki ndiyo kifo. KIFO NI NINI.. Kifo ni pale girlfriend wako anapofanya fujo Club akiwatukana MABAUSA Huku akisema “BABY WANGU HATA HAWAOGOPI” 😀😀😀😀 Read and Write Comments
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi
*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:* *Teacher:* `Who is a pharmacist?` *Shemdoe:* 👆🏿 _(raised up his hand.)_ *Teacher:* `So it’s only Shemdoe that can tell who a pharmacist is in this class? Thus, no body else to answer the question except Shemdoe?` _(There was no reply from the students)_ *Teacher:* `Ok. now Shemdoe, chukua …
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi Read More »
Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara
MZEE:”sasa huyu mgeni sijui alale wap?”
MKE:”saa hizi ni usiku akalale na Bebi.”
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
JAMAA:”msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi” akalala
asubh wanakunywa
SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???
Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia …
SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!??? Read More »
Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli
Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yale mambo yao ya Sumbawanga, akampachika Rashidi i jinsia ya kike. Alipofika mahakamani kuhojiwa Rashidi akasema sijampa ujauzito kwa sababu mimi pia nina jinsia ya kike.Kwa kuthibitisha Rashid wakaenda kumkagua basi akashinda kesi, kufika nyumbani Rashid akawakuta watu wamejaa wanalia, akauliza kulikoni?Akaambiwa bibi yako …
Kisa cha mzaramo na mchaga
MZARAMO V/S MCHAGA.Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yoooooootekwa tsh. 100,000/=Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia lakiyako nakukuongeza laki nyingine.MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.MZARAMO: “unaumwa nini?”MCHAGA: “Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa..”MZARAMO: “sawa, toa laki kabisa..”Mchaga akatoa.MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; “Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu..”MCHAGA akanywa akatema faster; “Puh puu puu, …
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa
MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni “nikusaidie nini?”
Hili nalo neno kwa wavulana
Hili nalo neno Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unakalia kusema waooo waoooo kama king’ora cha ambulance. Shauri yako we endelea kusema waoooo waooo na atakuwa wao kweli. 😂😂😂😂😂😂😂 Read and Write Comments
Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!
Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkazia!! Inabidi dem asisitize,”I HAVE ONLY ONE HEART,PLZ, I CANT LOVE TWO MEN” Nawewe unaona haiwezekan,unamwambia ‘NIPENDE ATA NA KIDNEY’😃😃😙😃😃😃😗😃 Read and Write Comments
Huyu mwanafunzi kweli kiboko
Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema.. John kusikia hivyo….Karusha begi la daftari nje…..` `Ticha akauliza: Nani karusha begi nje!?!`* `John: Mimi….. Kwa herii Mwalimu……` 😂😂,😂😂 Read and Write Comments
Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi
Unafahamu? Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi saivi kupiga simu ni bure mjulishe na mwenzako 📲 📲 Read and Write Comments
Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa
Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahiMimi; kwa nini?Mke; ungekuta na sisi tuna gari nzuri hatutembeu kwa mguuMimi; ah wap,unadhani ningekuwa tajiri ningekuwa na wewe?ungekuta natoka na kina wema,zari…😁😁😁naona anakusanya nguo zake itakuwa anaenda kufua Read and Write Comments
Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa
Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia Mlangoni kwangu ndio wanacheza hapo. Kila nikitoka wananisalimia. Mama yao ndio kanimaliza kabisa nimetoka akaniambia “Kumbe wewe ni Mpishi mzuri, Hongera” Imebidi nisirudi nyumbani maana wale watoto wanaweza kuingia ndani kabisa na pilau hakuna. #UTOTO RAHA 😂 😂😂😂😂👆🏻👆🏻👆🏻 Read and …
Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa Read More »
Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala
Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufuya kwenye daladala. 1.Yatima hadeki2.Utamu wa chips mimba3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni4. Usiyempenda kaja5. Kobe hapimwi joto6. Acha kazi uone kaz kupata kaz7. Ukichezea koki utalowa8. Heshima pesa kipara kovu tu!9. Mtumbwi hauna saitmira.9. Silaha pesa bastola mzigo10. Hata uoge …
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida
👧: “Mpenzi, nakuomba uache kulewa” 👨: “poa, na wewe acha kutumia make up” 👧: “Mimi napaka make up ili unione mzuri” 👨: “Na mimi nalewa ili nikuone mzuri” Vodka hatareee😂😂 Read and Write Comments
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana ..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuni…unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng’ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuni…😂😂😂😂 Read and Write Comments
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!
1. Awe na pesa nyingi 2.Siyo lazima awe mzuri wa sura 3. Ajenge ukweni 4.Awe mpole 5.Asimuonee wivu mke wake 6.Awe mwenye upendo wa dhati 7.Asishike simu ya mke wake. 8.Akimkuta na mwanaume apite tu, akitaka kujua ni nani asubiri nyumbani 9.Awe anamskiliza mke wake kwa kika kitu. 10.Asipende mwanamke mwingine zaid yake UKIMPATA MWANAUME …
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!! Read More »
Safari ni safari
FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu. Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari …
I’m so happy you’re here! 🥳












































































Recent Comments