Ukiona hivyo ujue ndio hivi
Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisoma hajajibu, umetuma ya pili kasoma hajajibu, ukatuma ya tatu hajajibu mmmmmh😨😨 hapo ujue mwenzio kaangalia kwenye profile yako, kakagua picha weee mwishoni akajisemea tu “Huyu.mkaka hapana kwa kweli”🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🏃♂🏃♂🏃♂🏃♂🏃♂🏃♂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii ni kali sana! 😂🤣
😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!
🤣 Kichekesho bora kabisa!
Hii imenipa kicheko cha siku! 😂😆
😄 Umeshinda mtandao leo!