Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaongeza maji pale jikon. Kumbe yy aliweka maji saiz ya unga wake peke yke… Sasa hiv TUNAKUNYWA UJI hata hatuongeleshani. Kimbelembele changu kimeniponza.. 😂😂😂😂
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
😆 Kali sana!
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! 😄😆
😂🤣😆😅
Kweli mnajua kuchekesha watu! 🤣😂
Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣