Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si akakuta mchepuko wake,
MKE: Unataka nini we mpumbavu?
MUME: Nani huyo unamtukana?
MKE: Kuna mtu hapa anakichwa kama nenda urudi badae
MCHEPUKO:Nawewe pua kama poa
MKE:Miguu kama masaa mawili
MCHEPUKO:Masikio kama sichelewi
MKE: Ondoka hapa mjinga we. โฆโฆ Akafunga mlango
MUME: mwambie ana macho kama sitoki leo ng’oo
SIPENDI UJINGA MM nikiwa na my love pr
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Umetisha! ๐๐
Hii imenikumbusha enzi zile! ๐ ๐
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ๐๐
๐๐๐คฃ
Hii kichekesho inastahili tuzo! ๐