Matatizo ni nini???
`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakubana na hukuwa unajua choo kilipo, ukatoka nje na kujisaidia kwenye majani kumbe ni mboga asubuhi ukasikia mama mkwe anasema kuna mjinga kajisaidia kwenye mboga na kaangusha pochi yake hapohapo haa! Vile unajisachi pochi hamna na kulikuwa na passport,vitambulisho, kadi ya benki, pesa zaidi ya laki 2 na nusu, funguo za nyumba yako, `
π€π€π€π€π€π€π€π€π€
Walahi haya ndo matatizoπ π π π π π
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Hii ndiyo maana ya matatizo
Sababu za kumuacha mke kama umemchoka
Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake
Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi
Je, Chuoni kwako Kukoje?
Huku ndiko kuumbuka bila chuki
Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya
SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy