Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha
kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
Miaka 33: Kuna mtu wa Mungu yupo kule
anaombea unaweza kupata mchumba
Miaka 36: At least pata mtoto mmoja.
Miaka 39: We will take care of all the wedding
bills…yeyote ni sawa sisi tutagharamia kila kitu mwanetu wee mlete tu .
Miaka 45: hivi kweli nani alikuroga.?
😂😂😂 changamkia fulsa umri ukifika
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! 😄😅
😂👌
Nimefurahia hii sana! 😆😊
Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂
😂 Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!