Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.
Akasimama katikati ya Gari-Akasema; “Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,
Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977″
Abiria kuskia hivyo wakaogopa.
Ikabidi Mwizi Ajitokeze,
Akarudisha Pesa na Kuomba Msamaha! Mtu Mmoja akauliza,
Mzee,
Kwani 1977 Ulifanya nn?
Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!
Uscheke Peke Yako, wa2mie na wengine ili nao wacheke!
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba
Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo
Dunia ina mambo, soma hii
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass
Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa
Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status
Mshahara usiobadilika
Mchaga aliyemshangaza Mungu