Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ”ALIPEWA MIA TANO ZIPO MBILI,MIA TANO MOJA YA NYANYA na MIA TANO NYINGINE YA VITUNGUU sasa KAKOSEA KAZICHANGANYA HAJUI TENA IPI NI YA NYANYA na IPI NI YA VITUNGUU!!!
.
.
NA PESA ZOTE ANAZO KAZISHIKA MKONONI,
Editor: Melkisedeck Leon Shine. About Me | Contact Me | LinkedIn | TikTok | WhatsApp
Read and Write Comments
Recommended Posts
Huyu ndo mwanamke
Utoto bwana. Raha sana!
Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya
Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?
Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi
Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao
Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake
Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema